Nani mkali wako wa siku zote

Hawa eatu wanaimba nyimbo tofauti sio wa kuwafananisha hata kidogo action movie za jet ni zile kungfu za ajabu ajabu nguvu nying unaweza semea hata nguvu za kawaida za kibinadam haiwezekan ila jack ni real
Angalia black mask the one na taichi master ila ana history nzur
Ukimtaka jet katika movie ambazo zina uhalisia mwangalie katika dany the dog the master lakin sio the hero
Ukicheki movie za jackie unaona anapigana anashindwa anakimbia na sometimes anakua mbishi mpaka jambazi anaomba poo
Usifananishe hawa watu jack yupo juu ila jet anajua
 
wote wakali kwa nafasi zao.. japo jet lee kamzidi chan kwani jet katoa muv nyingi ambazo ni modern na ameshirikiana sana na wasanii wakali wa Hollywood

jack ni balaa nyingine, muv zake nyingi ni za zaman na hajatumia teknolojia kubwa kama jet..
kingine huwez ukachek muvi ya jack ukaacha kucheka.. we utakuwa na matatizo yako binafsi
 
Hapo kuna mmoja nimcheshi sana kwenye kazi zake ,huyu mwingine yuko siliasi mno kwenye kazi zake, kwangu wote nachaguaga nikivurugwa nantafuta chen,nipunguze wenge, ila nikitulia namtafuta lee, hawa jamaa noma wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom