Kwani hao ni akina nani hapa Ushirombo...!!??
Fux hizi mkuu, jet lee sio mtu wa vituko anajitiaga usiriaz fulan hv, kitu jackie ndio kituko.Huwa nashindwa kuwatofautisha hawa na vituko vyao
Jack...but Jet ni kisanga; mtu anampiga mpaka masta wake ktk Taichi nikasema basi huyu kashindikana hahahaa