NawafahamuKama Tanzania imewaelewa halina tatizo wapambanishwe tu kuna watu wananyimbo zaidi ya hizo ila watu hawa wafahamu unawafahamu haw nash mc songa Nikki Mbishi kr mulla
MsameheMleta mada kasema harmonize na ray vanny we unasema dully unajielewa kweli wewe.
Huyo anayeiga kwa boss wake?! Damn it!!Kwa sauti hormonize ni shidaa
Yule wa Una ramboooooo wote ni wa nanjilinji mkuu ndo maanaHuwezi kumfananisha Rayvanny na vitu vya ajabu ajabu hivyo. Halafu hivi Harmonise na yule dogo mmoja wa kwenye Band ya Yamoto Band ni ndugu? Maana huo mfanano!!!!
Nampenda anajielewaRay anajua yule dogo...hatumii nguvu nyingi..hatumii kiki za kijinga
nimecheka sanaHarmonize anafanana na kobe yani tortoise
Raymond
Acha.kumfanananisha na vitu vya kijinga View attachment 394873
Hoja yako haina mashiko imejaa ka wivu flani , bt all in all dogo mkali yani. Huyo nanjilinji boy hamfikii hata theruthiDogo picha zake nyingi anaweka pozi za kike kike, sura, macho, midomo anaibinua kama wadada!
Nadhani anahitaji kutafuta pozi la kiume kwa ajili ya picha.
we jamaaaaVijana sura zao zinatatanisha sana ila ngoja niwe mvumilivu tu kidogo watafanana na boss wao sababu nae enzi hizo nilikua namuota usiku.