barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Dah...weka huu uzi kwenye jukwaa la vichekesho.Wadau wajukwaa hili,
Recently tumeona jinsi kijana wetu Diamond anavyofanya vizuri kwenye music, hapa nyumbani na hata kimataifa.
Hebu tuseme ukweli bila Chuki...
Diamond Platinum na Chris Brown nani mkali au yuko vizuri kwenye maswala yote yakuimba na kucheza?