Nani mgunduzi wa puli duniani?

Nani mgunduzi wa puli duniani?

Morning.

Wagunduzi wa kila kitu duniani wanafahamika kwa gunduzi zao nyingi.Nani aligundua upigaji puli(masterbation) Nimemgundua jamaa yangu baada ya mke wake kumshutumu kwa tabia hiyo kwenye kikao cha kutatua mgogoro wa ndoa.

Watu wengi inasemekana enzi zao za ujana wamejaribu suala hili na wengine wanaendela mpaka leo.Lakini kwa wingi huu wa midoli halali kabisa kwanini wanafanya hivi?

Ladies pia toeni comments.
Hadi vichanga vikiwa tumboni vinapiga Pull
 
dronedrake
IMG-20240617-WA0696.jpg
 
Mvumbuzi wa punyeto ni Herman Boerhaave, ambaye alikuwa daktari wa Kiholanzi na mwanasayansi aliyeishi kati ya karne ya 17 na 18. Alizaliwa mnamo 1668 na alikufa mnamo 1738. Boerhaave alikuwa mmoja wa madaktari wa kwanza kutoa maelezo ya punyeto na kuhusisha kitendo hicho na madhara mbalimbali ya kiafya, ingawa madai yake hayakuwa na msingi wa kisayansi thabiti. Tafiti za kisasa zimeonyesha kwamba punyeto kwa kiasi cha kawaida haina madhara kiafya.

Source: ChatGPT
Ina maana kabla ya miaka hiyo wanaume walikuwa hawasimamishi? Kupata uhalisia wa hili jambo ni gumu mno kwasababu limegubikwa na usiri mkali sana wakati wa UTEKELEZAJI WAKE.
 
Nilikuwa Tu, siwezi kusoma thread zote nisikutane na jibu, hii ndio Jamii Forum, kisiwa cha maarifa (elimu) .
 
Back
Top Bottom