Habari za uhakika kutoka Dodoma zinasema Balozi wa Tanzania Nchini Urusi Mhe. Jaka Mwambi ndio atakuwa mrith wa Makamba.Hii imetokana na kukubalika kwake kwa wanachama wengi na kotokuwa na kundi lolote.
ni mkristo au mwislamu?
kama ni mkristo yatamkuta ya mungai.
kama ni muislam, no problem
Ngawaiya? Si unajua anatakiwa mropokaji asiye na elimu wala akili?
mbona wapo wengi tu,??................ hata tambwe hiza yuko fit kubeba hayo majukumu.................
mnacheka nini sasa??............. kwani makamba laipoingia alikuwa na sifa gani??.................. huyo ndie JK bwana .........
Basi abaki Makamba maana nikifikiria waropokaji ni yeye au Anna Kilango. Mamaaaa nilimsahau sofia simba. Llabda safari hii wafanye na gender balance
Fuatilia historia ya Jacka Mwambi uone! Ni rafiki mkubwa wa JK na walikuwa naye jeshini kwa hiyo mambo ya uswaiba yataendelea sio kwamba ni mchapakazi kiviile basi tu anatafuta mtu anayemwamini kulinda maslahi yake na hii ni baada ya kusikia CC kuna hoja ya kutenganisha uenyekiti wa chama na urais so anajishield yasije yakamkuta ya MbekiHabari za uhakika kutoka Dodoma zinasema Balozi wa Tanzania Nchini Urusi Mhe. Jaka Mwambi ndio atakuwa mrith wa Makamba.Hii imetokana na kukubalika kwake kwa wanachama wengi na kotokuwa na kundi lolote.
hamna kitu..... he was too old ten years agoHabari za uhakika kutoka Dodoma zinasema Balozi wa Tanzania Nchini Urusi Mhe. Jaka Mwambi ndio atakuwa mrith wa Makamba.Hii imetokana na kukubalika kwake kwa wanachama wengi na kotokuwa na kundi lolote.
nyie wana acheni kunivunja mbavuu..Sofia simba tena...mbona itakuwa ni mavicheni pati daily pale lumumba na vibao kata kila ijumaa