Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,128
1.Serikali ya jamhuri ya muungano tunadaiwa deni kubwa.
2.pesa za deni hilo zilitumika bara na visiwani
3.kwa sasa serikaali ya muungano ndio wanalipa.
4.je nani atalipa deni la sasa kwa mapendekezo ya serikali tatu????
IKUMBUKWE.
(i)Warioba kasema serikali ya muungano haitakopa,kwa maana nyingine haitakuwa/haipaswi kuwa na deni.
(ii)baadhi ya mambo yaliyogharamiwa na serikali ya jamhuri ya muungano HAYATAMBULIWI NA RASIMU YA KATIBA MPYA.hapa itakuwa ngumu serikali ya muungano kurithi deni la mambo yasiyotambulika ktk serikali ya muungano.
(iii)TANGANYIKA JE?Zanzibar je?watarithi vipi deni hili?HATA HAPA KUNA UTATA.
2.pesa za deni hilo zilitumika bara na visiwani
3.kwa sasa serikaali ya muungano ndio wanalipa.
4.je nani atalipa deni la sasa kwa mapendekezo ya serikali tatu????
IKUMBUKWE.
(i)Warioba kasema serikali ya muungano haitakopa,kwa maana nyingine haitakuwa/haipaswi kuwa na deni.
(ii)baadhi ya mambo yaliyogharamiwa na serikali ya jamhuri ya muungano HAYATAMBULIWI NA RASIMU YA KATIBA MPYA.hapa itakuwa ngumu serikali ya muungano kurithi deni la mambo yasiyotambulika ktk serikali ya muungano.
(iii)TANGANYIKA JE?Zanzibar je?watarithi vipi deni hili?HATA HAPA KUNA UTATA.