Mwiba, nafikiri kufanya hivyo (vyama kinzania kujiunga pamoja na kumtoa mgombea mmoja) kutakuwa mithili ya uvuvuzela, per excellence! Kimbunga! Lakini baada ya Uchaguzi Mkuu, makapi yaaanza kudondoka chini moja, moja na kusambaratika kwa umoja huo ki-vyama!