Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu Kamaka, siyo tu ni muhimu kwa Chadema kusimamisha mgombea wa urais bali ni lazima, kwa kutosimamisha mgombea watu wengi watakuwa wamenyimwa haki yao kumchagua kiongozi makini kutoka chama makini. Ukizingatia kwamba vyama vingi vya upinzania ikiwemo chadema havijafanikiwa kuweka mzizi wa wanachama na viongozi mpaka matawini(siyo lazima sana) hivyo mgombea urais anakuwa kiunganishi muhimu sana kwa wagombea ubunge majimboni na udiwani katani.Wadau ninauliza kuhusu hiyo mada,kama ndiyo naombeni sababu.