Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Majina kadhaa yanatajwa wakiwemo Mauricio Pochetino , Laurent Blanc , Michael Carrick na Antonio Conte , Je wewe unadhani ni yupi anafaa kubeba mikoba ya Ukocha wa timu hii kubwa ?
inasemekana huyu ni kocha wa muda tu , je baada ya huo muda kwisha nani atapewa mikoba ?Possibly Michael carrick
Na mimi maombi yangu yako kwa huyu jamaa. Atue tu hapo chap.Zidane namwona anapata shavu.
hana lolote !Zidane namwona anapata shavu.
Na Guardiola mkumbuke kuwa alipewa BASA kama kocha wa muda, akitokea kuwa msaidizi wa Rijkaad!inasemekana huyu ni kocha wa muda tu , je baada ya huo muda kwisha nani atapewa mikoba ?
Hahaa! inawezekana "alitonywa" maana kaondoka tu, Mou kanyofolewa!Dah...ila na Zahera kaenda Ulaya mjue
Hapana. Guardiola hajawahi kuwa kocha wa muda pale Barcelona. Alipewa timu moja kwa moja akitokea timu ya vijana.Na Guardiola mkumbuke kuwa alipewa BASA kama kocha wa muda, akitokea kuwa msaidizi wa Rijkaad!
Mechi mbili tatu kashinda, akapewa timu moja kwa moja!
Naona utabiri wako unatick taratibu.Hapana. Guardiola hajawahi kuwa kocha wa muda pale Barcelona. Alipewa timu moja kwa moja akitokea timu ya vijana.
Kweli mkuu, hata mimi sijaona maajabu yake kiiivile.hana lolote !
Ronaldo alimbeba sana Madrid, hana mbinu zozote za ushindi zaidi ya kutemegea vipaji binafsi vya wachezajiNa mimi maombi yangu yako kwa huyu jamaa. Atue tu hapo chap.
Bila shaka Zahera kamrith MourinhoDah...ila na Zahera kaenda Ulaya mjue
Ha ha ha ngoja tuone na top4 itakaajeNaona utabiri wako unatick taratibu.
Possibly Michael carrick