Umenikumbusha "Kifuatacho" ya Algebra.FUTURE maana yake baadae tusubiri hiyo baadae
Kuna dumbing down of things inatokea hata kwenye technology.you call it how you like but I call it evolution of music just like evolution of technology... Its a new generation
Mmmh BOyz 2 men! Bila shaka umri umeenda
Yeah, what is shit to 70s generation is valuable to 200s generation.. vise versa.
Sasa mimi nimezaliwa 1998, biggie Pac cool nawasikia kwenye vijiwe vyenu tu. Haha. Lazima mkubali new era. Kumleta Nas aje amwimbie kijana wa 98 hiphop is dead wakati Hip hop ya kina Rae sremmud ipo nikuchoshana.
Pitia hapa ufurahi kidogo.
Mbona hapo hats mzee Wa kriss cross simuoni inamaana naye sio msanii mkubwa? Tuache upuuzi hizi list hazisemi kila kitu unachohitaji kusikia.. Kama chati ingekuwa inahusisha wasanii wakubwa na maarufu basi chris brown asingekosa kwenye top ten ya hii list lakini hayumo kabisa... Tafuta list nyingine utuletee mkuu
Zaidi ya unavyofikiria mkuuHivi kiingereza unaelewa wewe?
The highest paid celebrities is not what fans need... Mwisho Wa siku utasema wamlete Celine Dion insteadHivi kiingereza unaelewa wewe?
Hapanasasa unadhani mimi mwenzio.........
Ahaaa ivi kumbeeeFuture si mustakabali!!
Ivi eeeMmiliki mwenza wa Acaciah
Rihana na lily wayne ndo kina nani?Nimeshindwa elewa kabisa Castle lite wamewaza nn kumleta msaani kama Future nchi Tz.
Sidhani kama Future ana Mashabiki wa kutosha na sina uhakika kama asilimia kubwa ya watu wanamfahamu.
Ukitaka kumleta Msanii Bongo kutoka Nchi ya USA ni vyema kuzingatia Umaarufu wa mtu Epecially kwa Wasani waliowika miaka ya 2000, pia zingatia wasanii wenye nyimbo zinazopendwa sana na Jinsia ya Kike hapa ndipo washabiki na walipa viingilio walipo ,plus wasanii ambao nyimbo nyingi zinaweza Kuchezeka: Mfano wasanii kama Rihana, Lily Wyne na Nick Minaj na Jamii kama hizo.
Ila hapa kwa Future duuh... sijui ..labda he's too cheap.
Uyo namjuaMzazi mwenza na Ciara.. ( au hata ciara humjui!!)
Afu future sio msanii mdogoNimeshindwa elewa kabisa Castle lite wamewaza nn kumleta msaani kama Future nchi Tz.
Sidhani kama Future ana Mashabiki wa kutosha na sina uhakika kama asilimia kubwa ya watu wanamfahamu.
Ukitaka kumleta Msanii Bongo kutoka Nchi ya USA ni vyema kuzingatia Umaarufu wa mtu Epecially kwa Wasani waliowika miaka ya 2000, pia zingatia wasanii wenye nyimbo zinazopendwa sana na Jinsia ya Kike hapa ndipo washabiki na walipa viingilio walipo ,plus wasanii ambao nyimbo nyingi zinaweza Kuchezeka: Mfano wasanii kama Rihana, Lily Wyne na Nick Minaj na Jamii kama hizo.
Ila hapa kwa Future duuh... sijui ..labda he's too cheap.