simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
A picture is worth a thousand words,
Tanzania loves you mama.
Ila hii ya kupandisha mishahara, kuajiri,best yangu na kupandisha madaraja ataweza kweli kwa mwaka huu? Dah kwakweli its too muchMimi nitamkubali baada ya salary ya mwezi wa Saba mwishoni! Na yeye asipo nipandisha daraja kama yule bosi wake, nitamuona na yeye ni wale wale tu!
Anashindwa kuboresha maisha ya wafanyakazi, ili akanunue ndege za kuliletea Taifa hasara! Kiongozi wa hovyo kabisa yule kuwahi kutokea nchini! Mtu unakuwa mkaidi na mjuaji mpaka unakera!!
kanisani hujaenda maana nilikuamsha kwa simu asbh ukasema unaamkaMimi nitamkubali baada ya salary ya mwezi wa Saba mwishoni! Na yeye asipo nipandisha daraja kama yule bosi wake, nitamuona na yeye ni wale wale tu!
Anashindwa kuboresha maisha ya wafanyakazi, ili akanunue ndege za kuliletea Taifa hasara! Kiongozi wa hovyo kabisa yule kuwahi kutokea nchini! Mtu unakuwa mkaidi na mjuaji mpaka unakera!!
Naenda misa ya pili mkuu! Ni Dominika ya pili hii ya Pasaka, ya mwaka B wa kanisa!! Karibu sana tujumuike pamoja hapa Kurasini, kwenye Kanisa Katoliki la Mt. Maurus.kanisani hujaenda maana nilikuamsha kwa simu asbh ukasema unaamka
That spiritual connection between the two is still valid
Alivorudi lazima aliulizwa "kwanini umeenda kumtemberea yule msariti anaetumiwa na mabeberu"
Upo sahihi kabisa mkuu. Hizo loss Ambazo ATCL imeingiza plus hela ya kununulia hiyo midege hivi angefanya salary increment hata ya 10% kwa kila nee financial year tangu achukue nchi si watumishi wote wangemkumbuka sana tena in real sio kwa kulazimishwa na jeshi la polisi.Mimi nitamkubali baada ya salary ya mwezi wa Saba mwishoni! Na yeye asipo nipandisha daraja kama yule bosi wake, nitamuona na yeye ni wale wale tu!
Anashindwa kuboresha maisha ya wafanyakazi, ili akanunue ndege za kuliletea Taifa hasara! Kiongozi wa hovyo kabisa yule kuwahi kutokea nchini! Mtu unakuwa mkaidi na mjuaji mpaka unakera!!
🤣🤣🤣🤣🤣tate wewe kivuruge balaa🤣🤣🤣🤣Naenda misa ya pili mkuu! Ni Dominika ya pili hii ya Pasaka, ya mwaka B wa kanisa!! Karibu sana tujumuike pamoja hapa Kurasini, kwenye Kanisa Katoliki la Mt. Maurus.
Ukimuona mzee mmoja bonge hivi mweupe! Ana masharubu! Amevaa shati la kitenge cha maua maua na suruali nyeusi na amevaa miwani ya macho, ndiye mimi. Nimekuja Dar kushangaa ma flyovers yaliyo jengwa na Hajati Rais wetu Jpm.
Masharubu😋Naenda misa ya pili mkuu! Ni Dominika ya pili hii ya Pasaka, ya mwaka B wa kanisa!! Karibu sana tujumuike pamoja hapa Kurasini, kwenye Kanisa Katoliki la Mt. Maurus.
Ukimuona mzee mmoja bonge hivi mweupe! Ana masharubu! Amevaa shati la kitenge cha maua maua na suruali nyeusi na amevaa miwani ya macho, ndiye mimi. Nimekuja Dar kushangaa ma flyovers yaliyo jengwa na Hajati Rais wetu Jpm.
Sipati picha mama aliporudi bongo,nadhani alikula mvua ya kugombezwa.
The ties that bind humans run deeper than political affiliations.That spiritual connection between the two is still valid
Tate mkuu zumbe mungu,kumbe ndo we nakuona hapo umevaa shati LA kijani LA kitenge.Naenda misa ya pili mkuu! Ni Dominika ya pili hii ya Pasaka, ya mwaka B wa kanisa!! Karibu sana tujumuike pamoja hapa Kurasini, kwenye Kanisa Katoliki la Mt. Maurus.
Ukimuona mzee mmoja bonge hivi mweupe! Ana masharubu! Amevaa shati la kitenge cha maua maua na suruali nyeusi na amevaa miwani ya macho, ndiye mimi. Nimekuja Dar kushangaa ma flyovers yaliyo jengwa na Hajati Rais wetu Jpm.