Nani kama Diamond Platnumz, Rais wa Wasafi?

Nani kama Diamond Platnumz, Rais wa Wasafi?

Hatua aliyofikia DIAMOND wangefikia wale wa mtaa wa "cheketua" ingekuwa balaa
 
mkuu hapa bongo hakuna kama kibaaa
​ Ni kweli hakuna kama kiba anayeongelea VIDEO ya nyimbo 1 zaidi ya miezi 6 kama kuna aliyemlazimisha lazima atoe wakati hana uwezo huo ila anajilazimisha kwa presha ya wanaojiita mashabiki wake
 
K 4 REAL DAIMA dumu

Banaa eenh!!tutolee matusi humu ndani ebooh!!unadhani wote ni wanawake humu wenye K pekeyao??tuna wanaume kibao usituletee mambo yako ya K hapa!

Eti K4real daima dumu!"nani alikuambia Kama K inakufa??K hata ukifa unakufa nayo wala haibanduki Ilipoota.
Kei Kei kei my FOOT!!
 
Banaa eenh!!tutolee matusi humu ndani ebooh!!unadhani wote ni wanawake humu wenye K pekeyao??tuna wanaume kibao usituletee mambo yako ya K hapa!

Eti K4real daima dumu!"nani alikuambia Kama K inakufa??K hata ukifa unakufa nayo wala haibanduki Ilipoota.
Kei Kei kei my FOOT!!

Best taratibu ujue best...watu watajifungua hapa best

Lakini best mzigo wangu sijaupata ...unakwama wapi mbebs?
 
Best taratibu ujue best...watu watajifungua hapa best

Lakini best mzigo wangu sijaupata ...unakwama wapi mbebs?

oohoo ngoja nikaangalie tena tatizo liko wapi halafu nakufata PM
 
Back
Top Bottom