GE2025 Nani kaliwa kichwa huko CCM?

GE2025 Nani kaliwa kichwa huko CCM?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Naomba kujua kuhusu Muhindi mmoja anaitwa Mansoor mbunge wa vitendo Kwimba yu salama?
 
Tayari nasikia hawa kwisha habari yao!
 

Attachments

  • 2606209d-d42e-4210-ba6a-da0990dfd8b0.jpeg
    2606209d-d42e-4210-ba6a-da0990dfd8b0.jpeg
    109.2 KB · Views: 8
  • e872a2ac-5947-4fb4-8b76-2329f41dd568.jpeg
    e872a2ac-5947-4fb4-8b76-2329f41dd568.jpeg
    82.6 KB · Views: 12
  • 768dd8f9-b70e-43cf-9b4f-e98b84d62ffa.jpeg
    768dd8f9-b70e-43cf-9b4f-e98b84d62ffa.jpeg
    103.9 KB · Views: 8
Tunataka wabunge wapya wanaoweza kuendana na kasi ya Rais Samia. Wenye mawazo ya kutafuta vyeo hawana nafasi. Tunataka wabunge wachapakazi.
 
Back
Top Bottom