sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,846
yap ni ana makaka ? waache makaka zake wamsomeshe. hyo misaada peleka kwa watoto yatima na wasiojiweza.Kijana wangu, hayo maswali yana majibu. Jibu lake ni moja tu. MUACHE. Kamata ufunguo wako, habari ya shule atalipiwa na 'kaka zake'...nadhani umenisoma hapo.