Mayasa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 583
- 295
Kufanya kosa si kosa.. kosa ni kurudia kosa. msamehe!Wakati ananipigia simu kunitakia usiku mwena alionyesha wasiasi fulani hivi. Nina mazoea ya kwenda kwake ila huwa namtaarifu kuwa nakuja. sasa aliponipigia simu kujua kama naenda nikamwambia siendi. Nilibana pale club kusubili muda upite ili nim-suprise kwenda, kumbe ndo Mungu ananiongoza kuona niliyoyaona.