Huyu jamaa katumwa na Mungu kuokoa Watanzania waliopotezwa na yale makitu ya ccm.
swissme
Wewe hujawai kuitwa baba na mkeo ?, hivi hujui kuitwa baba ni lugha nyingine ya kuitwa kichwa cha familia ?,pole sana kama wewe kwako huitwi baba kwahyo mkeo anakuita mtoto
MAKARIOS alikuwa askofu na alitawala Cyprus itakuwa Dr. Slaa!!!Kama DHAIFU alitawala hata Dr. Slaa ataweza mara mia!!
Ameoa sasa? Au anaishi na mchumba, tena mchumba mwenyewe anamwita baba!
mkewe wa kwanza yule aliyezaa naye na amempa talaka ndiye alimpa utamu hadi akaacha upadre. sasaivi kwa akili nyingi alizonazo angekuwa kadinari slaa sio pengo tena. lakini tuseme ukweli, tunda lile la katikati ukipewa vizuri unaweza ukauza nyumba gari mashamba kila kitu bila kujijua. ni burudaaani.hapa nilipo nina nusu saa tu nimetoka kulipata toka kwa shemeji yenu mama kayeyoo, napumzika hapa amenirushia laptop niwe naperuzi jf hapahapa kitandani wakati yeye anaandaa mchemsho wa samaki uliochanganywa na karanga, ndizi bukoba na nyanyachungu.Sijui ni shetani wa aina gani alimuingia aisee!
Tofauti ni Askofu Makarios hakukimbia Uaskofu. Slaa alikimbia au alishindwa kiapo cha upadri. Huwezi kuwafananisha.