Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
NDO maana. na sasa wewe ni Askari. sivyo?hata sijamaliza kabisa nilifeli form 2 mara mbili.
NDO maana. na sasa wewe ni Askari. sivyo?hata sijamaliza kabisa nilifeli form 2 mara mbili.
Je ni utaratibu kumwadhibu mtu adharani na kutupia mitandaoni? Huoni kuwa ni kinyume Cha haki za binadamu? Najua watu wanapigwa Sana nataka nikwambie hapo kaguKukamatwa kwa lipi? Huyo jama kanasa mtegoni wacha wampe chai kwanza πππ maswala ya kujifanya askari wakati hujawahi kanyaga CCP Mafunzoni mwisho wake ni kulambwa stiki tu πππ
Nani anatambua kuwa hao ni watu na kazi zao? Hii bado ni fikirishi either watafanya kazi kumridhisha mdosi au nao majizi tu maana tumerudi kwenye kutambiana kama enzi zile....'Unanijua Mimi ni nani' sidhani kama Askari aliyeiva atakubali kurekodiwa akitimiza majukumu yake ya kila siku ya muajiri wake. Naamini hao ni wahuni tuKukamatwa kwa lipi? Huyo jama kanasa mtegoni wacha wampe chai kwanza πππ maswala ya kujifanya askari wakati hujawahi kanyaga CCP Mafunzoni mwisho wake ni kulambwa stiki tu πππ
Hahaha tujitahidi kutokutafuta matatizo yanayoepukikaJe ni utaratibu kumwadhibu mtu adharani na kutupia mitandaoni? Huoni kuwa ni kinyume Cha haki za binadamu? Najua watu wanapigwa Sana nataka nikwambie hapo kagu
Nani anatambua kuwa hao ni watu na kazi zao? Hii bado ni fikirishi either watafanya kazi kumridhisha mdosi au nao majizi tu maana tumerudi kwenye kutambiana kama enzi zile....'Unanijua Mimi ni nani' sidhani kama Askari aliyeiva atakubali kurekodiwa akitimiza majukumu yake ya kila siku ya muajiri wake. Naamini hao ni wahuni tu
Hakika extrovert watu wanatembea na maradhi unamsukuma anakufiaHahaha tujitahidi kutokutafuta matatizo yanayoepukika
Sana tuHakika extrovert watu wanatembea na maradhi unamsukuma anakufia
NDO maana. na sasa wewe ni Askari. sivyo?
Kama na kufilana IMO itabidi. Niwe mpole kuingiziwa dude ni fani za watu hizo
unaongea tu asee we mwenyew unaona hapo anajitahidi kuondoka inashindikana af we ndo umng'ate sikio ndo unazid kuwapandisha hasira wakutoe kabisa na hizo kengere zakoMimi MTU hawezi kunipiga hivyo, over
Si amrukie mmoja amng'ate sikio aondoke nalo
ila wezi wengine miyeyusho kweli leo maeneo ya sinza wamepiga mwizi kumbe choko wamemvua nguo ana shanga kibao matako yamebabuka kwa mkorogo kajichubua hatariMikwaju interchangeπ π π unaweza kuta chalii ni mwizi sema kaingia cha kike! Ponjoro kavuta waya Central
Kama anabembeleza ajira ama haujui Kama haujui kuhangaika ukapata Mia yako ni kazi.Mimi MTU hawezi kunipiga hivyo, over
Si amrukie mmoja amng'ate sikio aondoke nalo
Hahahahha mwizi chubu πππila wezi wengine miyeyusho kweli leo maeneo ya sinza wamepiga mwizi kumbe choko wamemvua nguo ana shanga kibao matako yamebabuka kwa mkorogo kajichubua hatari
πππππππππππππHao jamaa wametumia akili sana, wamemuadhibu kwa kutumia fimbo. Hawakumpiga na vitu hatarishi, jamaa akitoka hapo akajikande na majimoto mwili utakaa vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hueleweki dadaHaya tumeona anayepiga mgambo wa jiji la Ilala sawa si mnajua op zenu mlikutana jeikeitiii mazee ila mwambie ameonekana akifanya unyama hadharani
Kipindi cha marehemu alikuwa anapiga mwenyeweNchi imeshafunguliwa namna hiyo nadhani sasa Kila mtu anafurahia matunda.