kijana...!Kama uchaguzi ungekuwa fair , CCM ingeshinda wapi! Hujui kilichotokea October 2015?CHADEMA Wangekuwa wabunifu wangeshinda Uraisi.huwezi sifia kuwa timu fulani ni timu bora wakati haifungi magoli wala kutwaa kombe lolote kutwa ni kushuka daraja.
You have said it allukweli mchunga asante mzee tupatupa kwa kulijua hilo, ukweli ni kwamba operation UKUTA imefanikiwa kwa 85% kabla ata ya tarehe moja, ccm imeshindwa kujua mtego wa chadema, nao ccm ikaingia miguu miwili na matokeo yake ujumbe wa maudhui yamefika kwa wananchi bila ata maandamano wala mkutano wa siasa, ikumbukwe kuwa nia na mazumuni ya UKUTA ni kuwafikishia wananchi kile ambacho chadema wanakiamini kuwa mkuu wa kaya anavunja katiba ambayo alihapa kuitetea na kuilinda.
kwa minajili hiyo ccm wakaingia kichwa kichwa kupambana na ukuta, kwakuwa ndio chama tawala imepelekea vyombo vya dola asa polisi nao kuingia kichwa kichwa kupambana na UKUTA, na matokeo yake wao ndio wakawa wasambazaji wa UKUTA uku wakisahau kuwa UKUTA ni idea ipo vichwani, UKUTA sio maandamano bali ni fikra ambapo uwezi kuzitoa kichwani kwa mtu ,ila maandamano yaliwekwa ili zile idea zipate kuwafikia wananchi as the result ccm imejikuta ikiitangaza UKUTA bila kujijua, nachelea kusema kwamba UKUTA imefanikiwa kwa 85% kabla ata ya tarehe moja.
UVCCM wamestukia hii wakati ni too late, ndio mana na wao wakatangaza maandamano mwisho wa mwezi huu.
kwa minajili hiyo na ni ukweli usiopingika chadema kuna great thinker wanaotumia akili za juu kufikili kisiasa kuliko chama tawala, natambua kuwa chama tawala kuna wasomi wengi kuliko chadema, je wapo huru kushilikisha akili zao na zikafanyiwa kazi?
Mkuu, amevaa miwani ya mbao huyoAcha undururu kijana...!
Kama uchaguzi ungekuwa fair , CCM ingeshinda wapi! Hujui kilichotokea October 2015?
CCM wanategemea figisu kwa kutumia serikali.Ila seriously CCM ina shida!!! Kwa ile barua feki ya zuio la mahakama, barua feki ya jaji Kaganda inadhihirisha wazi CCM hakuna thinktank za maana!!
Mkuu unamaoni gani kuhusu wanaosema tumeichagua wenyewe hasa Ukawa...CCM huwa haishindi chaguzi
Mkuu, UVCCM ni mambulula tu, Lumumba wanataka kufanya mchezo wa kuigiza.UVCCM wamestukia hii wakati ni too late, ndio mana na wao wakatangaza maandamano mwisho wa mwezi huu.
kwa minajili hiyo na ni ukweli usiopingika chadema kuna great thinker wanaotumia akili za juu kufikili kisiasa kuliko chama tawala, natambua kuwa chama tawala kuna wasomi wengi kuliko chadema, je wapo huru kushilikisha akili zao na zikafanyiwa kazi?
CHADEMA Wangekuwa wabunifu wangeshinda Uraisi.huwezi sifia kuwa timu fulani ni timu bora wakati haifungi magoli wala kutwaa kombe lolote kutwa ni kushuka daraja.
huwa wana refer wimbo wenu wa CCM uliotungwa na kombaMkuu unamaoni gani kuhusu wanaosema tumeichagua wenyewe hasa Ukawa...
Mkuu, UVCCM ni mambulula tu, Lumumba wanataka kufanya mchezo wa kuigiza.
Kitakachotokea ni kwamba UVCCM wataomba kibali cha kuandamana, then watanyimwa ili ku justify kwamba hata CCM wamenyimwa kibali, nyie CHADEMA ni nani mpaka tuwape?
Yani akili za kitoto kabisa.
Septemba mosi watajuaa ubunifu wa FFUHahahahahaaaaa! Yaani Think Tank wa CHADEMA asajiliwe CCM ili tushindwe kwenye uchaguzi? Haiwezekani hata kidogo
Mara ya mwisho ccm kushinda uchaguzi ilikuwa 2005.Hahahahahaaaaa! Yaani Think Tank wa CHADEMA asajiliwe CCM ili tushindwe kwenye uchaguzi? Haiwezekani hata kidogo
Wapi Shaka..tehee mwenye Mali anamhitaji Mombasa.UVCCM nao wataandamana kuonyesha uwezo wa kukata nyonga na vidole juu