kupita ccm mbio za urais 2015 kati ya hawa nani angalau ataleta matumaini kwa wananchi na wanachama wa ccm na wasiowanachama??
1.salim ahmed salim
2.magufuli
3.membe
4.migiro
5.lowasa
6.sita
Hakuna alie bora ndani ya CCM.
2.MAGUFULI - Wanasema "You cant teach an old dog new tricks" Huyu alikuwa Mwalimu na bado ana act kama mwalimu kuendelea kumea viongozi wenzake mbele ya kadamnasi kama wanafunzi.Aki bahatika kuwa rais sitashangaa akianza kuwachapa watu viboko hadharani.
3.MEMBE - Bado anaamini Tanzania hatuwezi kuendelea bila misaada,rejea utetezi wake kuhusu OIC.
4.MGIRO - Nikumbushe ni kitu gani cha maana alifanya wakati alikuwa waziri?
5.LOWASA - Wanasema "mti wenye matunda mazuri ndio unarushiwa mawe"
6.SITA - Tatizo hana msimamo,Muulize Mpendazoe kwa ufafanuzi zaidi.
Uchambuzi wako si Mbaya!2.MAGUFULI - Wanasema "You cant teach an old dog new tricks" Huyu alikuwa Mwalimu na bado ana act kama mwalimu kuendelea kumea viongozi wenzake mbele ya kadamnasi kama wanafunzi.Aki bahatika kuwa rais sitashangaa akianza kuwachapa watu viboko hadharani.
3.MEMBE - Bado anaamini Tanzania hatuwezi kuendelea bila misaada,rejea utetezi wake kuhusu OIC.
4.MGIRO - Nikumbushe ni kitu gani cha maana alifanya wakati alikuwa waziri?
5.LOWASA - Wanasema "mti wenye matunda mazuri ndio unarushiwa mawe"
6.SITA - Tatizo hana msimamo,Muulize Mpendazoe kwa ufafanuzi zaidi.
hapa kazi ipo!kupita ccm mbio za urais 2015 kati ya hawa nani angalau ataleta matumaini kwa wananchi na wanachama wa ccm na wasiowanachama??
1.salim ahmed salim
2.magufuli
3.membe
4.migiro
5.lowasa
6.sita
kiuhalisia Lowasa ndie anaeweza kupeperusha bendera ya ccm wakapata angalau % kadhaa, KWANZA HANA DHAMBI YEYOTE YA UFISADI MWENYE USHAHIDI ALETE JAMVINI aliachia ngazi kwa manufaa ya chama na serikali