Nani atajitokeza kunisaidia nipo taabani,

Nani atajitokeza kunisaidia nipo taabani,

mbugu91

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
256
Reaction score
604
Nina deni la milioni moja na nusu niliyokopa kwa ajili ya kufanya biasha,pesa hiyo nimepata hasara na sijui pakuitoa. Aliyenikopesha anadai kwa nguvu zote,amesema ikifika januari 5 tunaenda police. natamani hata kujiua kwani sina amani,raha na furaha. naishi maisha magumu yasiyo na muelekeo nimepoteza dira. USHAURI,MSAADA WENU TAFADHALI.
 
Nina deni la milioni moja na nusu niliyokopa kwa ajili ya kufanya biasha,pesa hiyo nimepata hasara na sijui pakuitoa. Aliyenikopesha anadai kwa nguvu zote,amesema ikifika januari 5 tunaenda police. natamani hata kujiua kwani sina amani,raha na furaha. naishi maisha magumu yasiyo na muelekeo nimepoteza dira. USHAURI,MSAADA WENU TAFADHALI.
Acha ujinga,ujiue kisa milioni na nusu?.muache aende Polisi mkaandikishane,pambana mwanaume huwa hakati tamaa kiboya.....PAMBANA.
 
Ilikuwa pesa ya riba nilikuwa na mdhamini tu anayenifahamu vzur sikuweka k2 chochote zamana sasa nimeeleza halihalisi naonekana tapeli. HALI NI MBAYA
 
Nenda polisi mkuu..
Watakuandikisha kule na mikwala kibao lakini mwisho wa siku kama hela hauna utasema unatoa lini then unakuja kitaa tunaendelea kupambana mdogo mdogo bila presha..

Lakini siku nyingine kopa pesa kuendeleza biashara na sio kuanza..
Kama una buku anza na biashara ya buku ..ukiona unapata faida kwa buku uliyoanzia ndio ukope elf 5 kuiendeleza buku yako...lakini kukopa mil kuanzisha biashara ni uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina deni la milioni moja na nusu niliyokopa kwa ajili ya kufanya biasha,pesa hiyo nimepata hasara na sijui pakuitoa. Aliyenikopesha anadai kwa nguvu zote,amesema ikifika januari 5 tunaenda police. natamani hata kujiua kwani sina amani,raha na furaha. naishi maisha magumu yasiyo na muelekeo nimepoteza dira. USHAURI,MSAADA WENU TAFADHALI.
Imekaa vizuri sana hiyo wala usiogope ni kesi ya madai hiyo
Ukifikishwa police kubali kosa na jieleze kuwa huna nia ya kutolipa bali biashara iligoma, baada ya hapo unaweza kupangiwa siku za kurudisha hiyo pesa... Kama kesi itaenda mahakamani ndio nzuri zaidi... Na pia kumbuka sheria zetu hazitambui riba kama mtu sio mfanyabiashara hivyo utatakiwa kulipa bila riba

Jr
 
Unaweza kuona na uongo kwa mtazamo wako,ila kiukweli im in trouble. nashukuru kwa ushauri pia
 
Huko polisi atahonga wakubandike kosa la KUJIPATIA PESA KWA UDANGANYIFU ili iwe Criminal case!

Cha muhimu jitahidi kuwa mkweli na unyooshe maelezo na kama mliandikiana, maandishi uwe nayo!

Lakini pia uende na plan kuwa utarejeshaje basi hiyo pesa hata kama ni kwa awamu awamu? Hilo ndio la msingi.

Na kama kuna uwezekana kwa kum- face wewe na mdhamini wako kumuomba ili akupe muda ulipe kidogodogo fanya hivyo. Huko polisi na mahakamani sio pa kuamini kwa asilimia mia, nao wana damu wale!
 
Write your reply...@kilwakivinje hata elfu kumi ni kubwa unapokuwa hauna na unadaiwa kwa pupa.
 
Ilikuwa pesa ya riba nilikuwa na mdhamini tu anayenifahamu vzur sikuweka k2 chochote zamana sasa nimeeleza halihalisi naonekana tapeli. HALI NI MBAYA

Mara ulidhamini mtu,mara ulikopa uanze biashara,mbona hueleweki!!!!
 
Nina deni la milioni moja na nusu niliyokopa kwa ajili ya kufanya biasha,pesa hiyo nimepata hasara na sijui pakuitoa. Aliyenikopesha anadai kwa nguvu zote,amesema ikifika januari 5 tunaenda police. natamani hata kujiua kwani sina amani,raha na furaha. naishi maisha magumu yasiyo na muelekeo nimepoteza dira. USHAURI,MSAADA WENU TAFADHALI.
Hiyo ni kesi ya madai, polisi hawahusiki nayo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...@wakorinto, wengi wanatafuta kasoro ktk andko langu ili nionekane muongo. MIM NIMESEMA NIMEKOPA MIMI LAKINI ALINIDHAMINI MTU.
 
Nina deni la milioni moja na nusu niliyokopa kwa ajili ya kufanya biasha,pesa hiyo nimepata hasara na sijui pakuitoa. Aliyenikopesha anadai kwa nguvu zote,amesema ikifika januari 5 tunaenda police. natamani hata kujiua kwani sina amani,raha na furaha. naishi maisha magumu yasiyo na muelekeo nimepoteza dira. USHAURI,MSAADA WENU TAFADHALI.
Naomba nikuchangie elfu kumi mkuu.Gharama za kukuzika ni kubwa mnoo na majonzi juu.Sitaki huzuni.
 
Ilikuwa pesa ya riba nilikuwa na mdhamini tu anayenifahamu vzur sikuweka k2 chochote zamana sasa nimeeleza halihalisi naonekana tapeli. HALI NI MBAYA
Kama ilikuwa ni pesa ya riba ndio vizuri, mtu au taasisi huwezi kukopesha kwa riba bila lesseni ya BOT, maafikiano hayo yalikuwa batili. Huyu kama anajitambua hawezi kukupeleka mahakamani, ningekuwa karibu ningekusaidia bure ujinasue na ukanjanja wa huyo jamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom