Nani atajitokeza kunisaidia nipo taabani,

Nani atajitokeza kunisaidia nipo taabani,

Hiyo kama sijakosea ni kesi ya madai ambayo Polisi huwa hawadeal nazo, hivyo mdai ataambiwa kwenda kufungua kesi hiyo mahakamani baada ya hapo utaletewa samasi ambayo itakutaka kwenda mahakamani kusomewa kosa lako. Unachotakiwa kufanya ni kukiri kosa na kutoa ahadi ya lini pesa utakuwa umekwisha ilipa. Usiogope muache aende Polisi.
 
Hiyo kama sijakosea ni kesi ya madai ambayo Polisi huwa hawadeal nazo, hivyo mdai ataambiwa kwenda kufungua kesi hiyo mahakamani baada ya hapo utaletewa samasi ambayo itakutaka kwenda mahakamani kusomewa kosa lako. Unachotakiwa kufanya ni kukiri kosa na kutoa ahadi ya lini pesa utakuwa umekwisha ilipa. Usiogope muache aende Polisi.
Kwanza mkifika mahakamani na yeye atapata kesi kutakatisha hela counterfeit riba hairuhusiwi kisheria mpaka BOT ili alipe kodi.Sasa wewe kubali utalipa ila uwezo wako ni shs 10000 kwa mwezi hadi deni liishe.Itakuchukua miaka nane miezi mitatu na siku 18 kumaliza hilo deni kama ni 1m.
Kuhusu kubambikiwa kesi usiogope. serikali hii na waziri muhusika wako makini kwa wanyonge.
Kwani polisi au mahakama hawapendi kazi Yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa pesa ya riba nilikuwa na mdhamini tu anayenifahamu vzur sikuweka k2 chochote zamana sasa nimeeleza halihalisi naonekana tapeli. HALI NI MBAYA
usikate tamaa mkuu wew ni wa thaman kuliko iyo hela muache aende police wakuui wala kukufunga nenda mkaandikishane alf uache uoga bhna na ww khaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom