We umeathirika vipi na hiyo habari fanya yako ndugu, Kubenea ni mwandishi wa habari za uchunguzi anatimiza wajibu wake kama mwandishi, kama kuna mtu ameonewa au kudhalilishwa kwa namna moja au nyingine mahakama ipo huru.HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
Kwa hiyo wewe umeona jinai ila serikali haijaona viongozi wake wanachafuliwa.HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
Wao wamenyamaza wewe unajitia kimbelembele kunyamaza kuna maana kubwa ndugu acha chuki.HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
Kwanini Hili gazeti lisijibu tuhuma za Majaliwa ili kumaliza utata ?HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
We unauliza, Mwanahabari naye anauliza, na sisi mnaotuuliza tunatakiwa kuwauliza nyie kwa sababu ndiyo taaluma yenu kama waandishi kwahiyo sisi hatujui.HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
Duh...!.HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
Tumevizoea hivyo "vijarida" vya propaganda kwa watawala wa CCM.Kwanini Hili gazeti lisijibu tuhuma za Majaliwa ili kumaliza utata ?
Na wewe ngosha, uwe unatoa habariDuh...!.
Bonge la promo kwa Raia Mwema!. Mimi nilikuwa silisomi, sasa nitalisoma.
P
Duh...!.Na wee ngosha,uwe unatoa habari
Ngumu kumeza
Ova
Hili ni gazeti au karatasi kuu kuu ya kufungui chapati na maandazi? Hivi hii minyoo kumbe bado ipo? Kweli minyoo ni hatari maana imeishi tumboni mwa Kayafa mpaka kafa imehamia kwenye tumbo la chui jike.HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
Ni View attachment 2412796
Na wewe na hicho kigazeti uchwara cha mwanahabari nani anawalipa kutetea mafisadi na viongozi vimeo?HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
Jenerali kauza kwa kubenea. Baada ya kuuza kawekeza kwenye sekta ya elimu.Nilifikiri Raia Mwema ni la Jenerali Ulimwengu. Kumbe ni la Kubenea?
Wezi ukiwataja tu wanakuita mchocheziAnawachafua viongozi ama anafichua maovu yao?
Kuna mtu very insider ambaye hamuwezi kuamini ndiye anayempa mchongo mzima.HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796