Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Eheeee hii ndio mashine.......sasa nielekeze inatumia dizel,petroli au kokoto............Halafu nipe hayo masharti!
hii nimepewa na BADILI TABIA na nimefanya jaribio dogo kwenye kinywaji changu
ha ha haaaa!!! Mkuu hii kitu inatumia mtambo wa gongo mwanawani....risasi moja tu unasambaratisha kongosho...firigisi na nyongo pembeni...Embu feedback ya hilo jaribio la hicho kinywaji...imekuwaje?