I lishawahi kukoswakoswa kuchapwa viboko na mwailimu alivyowaita Ikulu wakati walivyoanzisha mgomo chuo yeye na wakina Sitta. Anamuelewa Mwalimu vizuri sana. Hakuna kucheka cheka hapo!
hahahaaaaa,nimecheka mpaka basi.Jamaa kapigwa biti mpaka kanywea.Hii inaoneka ilikua noma maana mwl kavua hadi miwani.kapeti hapo nyuma utafikiri imesukwa kwa nuzi za nailoni.Ila ka Ben kametoka super sana,kanasikilizia biti la mwenzie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.