i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #2 nitakukaribisha champaigne
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #4 nitakupenda hata kama wewe ni mnene
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #5 sikia mwanamke ni mlaini sana inabidi apendwe an wala sio kupigwa
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #6 nani ambaye hana raha kwenye ndoa?nimekuja na suluhisho
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #7 karne hii sio ya kupigwa ama kunyanyaswa kwenye ndoa..njoo nikupe tulizo la moyo
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #8 najua kila siku unapigwa ila jua kuwa suluhisho lipo
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #9 anarudi kila sikua akiwa amelewa ...na kukukaripia bila sababu za msingi
ummu kulthum JF-Expert Member Feb 6, 2012 2,785 1,317 Jun 4, 2012 #10 kwa kuwa jina lako ni i pad naanza kujifunza kukupenda now
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #12 ummu kulthum said: kwa kuwa jina lako ni i pad naanza kujifunza kukupenda now Click to expand... nimeshindwa kutamka jina lako ila nimelipenda ...linasound kama wimbo
ummu kulthum said: kwa kuwa jina lako ni i pad naanza kujifunza kukupenda now Click to expand... nimeshindwa kutamka jina lako ila nimelipenda ...linasound kama wimbo
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #13 Level said: una swaga za kujieleza Click to expand... kwema ?
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #14 najua mwanzoni alikuwa anakupenda sana , anakuthamini sana ila baada ya kuoana mapenzi yote yakaisha
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #15 nani kakuambia kuwa ndoa ni ndoano? ndoa ni kama koti likkubana unalitupa kule ..mambo ya kizamani yamepitwa na wakati
nani kakuambia kuwa ndoa ni ndoano? ndoa ni kama koti likkubana unalitupa kule ..mambo ya kizamani yamepitwa na wakati
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #16 najua alikuwa anawahi kurudi kutoka kazini ila baada ya wewe kuzaa akaanza kuchelewa na kukupa visingizio kibao...
najua alikuwa anawahi kurudi kutoka kazini ila baada ya wewe kuzaa akaanza kuchelewa na kukupa visingizio kibao...
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #17 mwanamke yoyote ana haki ya kupata raha katika ndoa na katika maisha yake yote
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #18 mwanamke hapigwi kama unapigwa bila sababu za msingi jua kuwa wewe haupo kwenye right place
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #19 mshahara wa mwanamke ni wake na mshahara wa mwanaume ni wa familia kama ulikuwa hulijui hili ndio ukae ukijua hivyo
mshahara wa mwanamke ni wake na mshahara wa mwanaume ni wa familia kama ulikuwa hulijui hili ndio ukae ukijua hivyo
i pad3 JF-Expert Member Mar 16, 2012 1,518 378 Jun 4, 2012 Thread starter #20 najua ulikuwa huna hata alama moja ila sasa hivi una alama kibao kutokana na kipigo na manyanyaso