Nani anamiliki data zinazowezesha kutumia mtandao intaneti?

sawa chief nimekuelewa!! Kwahy tuseme kuna kampuni nchi fuln hiv inayotengeneza M-B,GBs hlf wanaziuza kwa kampuni za simu kweny nch tofauti? Au mfn halotel, ni kwamba wao ndy wanatengeneza M-Bs,GBs? Hapo mimi ndy nataka kujua tuu
Mimi ninavyoelewa Mb's/Gb's ni kipimo/ujazoData.
Kwa hiyo unaponunua kifurushi unapangiwa kiwango cha vitu( data) utakavyofungua kulingana na hela uliyolipa. Wauzaji wanaweza kutofautiana bei kama biashara nyingine.
Ila swali kubwa ni hili:
NI NANI MMILIKI WA CONNECTOR YA DIVISES ZOTE ZINAZODEAL NA INTERNET?
 
Hao wamiliki wa miundombinu ya kutuunganisha na windows data mbalimbali, wanaotuwezesha kuingia kila tunakotaka wanapataje faida ili kuendesha shughuli yao wakati mimi nimenunua vocha ya kulipia "HIZO DATA" kutoka tigo,voda, halo, air nk?
Mfamo kampunI kama SeaCom wamiliki wa fibre optic wanauza internet kwa ahwa ma ISP kama vodacom, tigo na ma ISP kama Jambo internet na wengine. Kwa hiyo wao wanalipa kwa SeaCom ambao ndiyo wamiliki wa fibre optic. nao wanakuja wanakuuzia wewe kwa hiyo ni sawa tigo wananunua kwa jumla kwa wamiliki wa miundo mbinu wanakuja kuuza reja reja kwetu
 
Umeanza vizuri but umemaliza vibaya sana
Ttcl sio isp mkubwa tanzania they cant even match uwezo wa watu kama Raha.com au simbanet
Plus vodacom,airtel na tigo sio kwamba wanauziwa data na ttcl bali mwanzoni walikua wanatumia medium(fiber) kuwafikia wateja wao huko rular areas but for now wanatumia undrground fiber ya halotel sababu ya ttcl haipo reliable
So isp(internet service providers) kama raha au simbanet ni downstream but nao wananunua au kua supplied data from upstream isp kama tata au seacom
Network ni muunganiko wa computer mbili au zaidi ili ziweze kuwasilian pamoja na kuweza kubadilishana malighafi. Kuna aina nne za network nazo ni
1.Personal network
2.Local area network (LAN)
3.Metropolitan area network (MAN)
4.Wide area network (WAN)
Internet ni mojawapo ya WAN inayojulikana na watu wengi. Kwa hivyo Internet ni muunganiko wa computer ili kuweza kuwasiliana na kubadilishana malighafi. Kwa hiyo hakuna mmiliki wa internet lakini kuna wasimamizi wa miundombinu inayowezesha mawasiliano haya ya computer ambao wanajulikana kama Internet Service Provider (ISP). Kwa Tanzania ISP mkubwa ni TTCL ambae anawauzia hawa wadogo wengine kina Vodacom, Tigo, Airtell na wengineo.
 
Network ni muunganiko wa computer mbili au zaidi ili ziweze kuwasilian pamoja na kuweza kubadilishana malighafi. Kuna aina nne za network nazo ni
1.Personal network
2.Local area network (LAN)
3.Metropolitan area network (MAN)
4.Wide area network (WAN)
Internet ni mojawapo ya WAN inayojulikana na watu wengi. Kwa hivyo Internet ni muunganiko wa computer ili kuweza kuwasiliana na kubadilishana malighafi. Kwa hiyo hakuna mmiliki wa internet lakini kuna wasimamizi wa miundombinu inayowezesha mawasiliano haya ya computer ambao wanajulikana kama Internet Service Provider (ISP). Kwa Tanzania ISP mkubwa ni TTCL ambae anawauzia hawa wadogo wengine kina Vodacom, Tigo, Airtell na wengineo.
Na wao wanawauzia kwa mbs kama wavyo tuuzia sii?
 
Network ni muunganiko wa computer mbili au zaidi ili ziweze kuwasilian pamoja na kuweza kubadilishana malighafi. Kuna aina nne za network nazo ni
1.Personal network
2.Local area network (LAN)
3.Metropolitan area network (MAN)
4.Wide area network (WAN)
Internet ni mojawapo ya WAN inayojulikana na watu wengi. Kwa hivyo Internet ni muunganiko wa computer ili kuweza kuwasiliana na kubadilishana malighafi. Kwa hiyo hakuna mmiliki wa internet lakini kuna wasimamizi wa miundombinu inayowezesha mawasiliano haya ya computer ambao wanajulikana kama Internet Service Provider (ISP). Kwa Tanzania ISP mkubwa ni TTCL ambae anawauzia hawa wadogo wengine kina Vodacom, Tigo, Airtell na wengineo.
NDIO MAANA WATU WANAFELI SANA...MTU ANAULIZWA DATA YEYE ANAJIBU NETWORK TENA KWA KUDOWNLOAD MAJIBU GOOGLE.
 
Huyo jamiforum yeye data kazitoa wap mkuu
mfano itunes ni store ya mziki so mmiliki wa hiyo store ni apple na data zilizomo, facebook social network ana servers ambazo zina data za watumiaji kwa mmiliki wa data hizo ni facebook, jamiiforums wana servers zao ambazo zimebeba data za jamiiforums mmiliki ni jamiiforums n.kn.k kwa mantiki hiyo hakuna mmiliki wa data zote za internet kwakuwa internet ni muunganiko wa computers (servers) ila kuna wamiliki wa miundo mbino zinazowesha hizo servers kuwasiliana mfano seacom na fibre optic cable yao n.k n.k
 
Ttcl hizo data wanazitoa wap
Network ni muunganiko wa computer mbili au zaidi ili ziweze kuwasilian pamoja na kuweza kubadilishana malighafi. Kuna aina nne za network nazo ni
1.Personal network
2.Local area network (LAN)
3.Metropolitan area network (MAN)
4.Wide area network (WAN)
Internet ni mojawapo ya WAN inayojulikana na watu wengi. Kwa hivyo Internet ni muunganiko wa computer ili kuweza kuwasiliana na kubadilishana malighafi. Kwa hiyo hakuna mmiliki wa internet lakini kuna wasimamizi wa miundombinu inayowezesha mawasiliano haya ya computer ambao wanajulikana kama Internet Service Provider (ISP). Kwa Tanzania ISP mkubwa ni TTCL ambae anawauzia hawa wadogo wengine kina Vodacom, Tigo, Airtell na wengineo.
 
Huyo jamiforum yeye data kazitoa wap mkuu
Kwanza unajua maana ya computer data?
Inaweza kuwa mziki, maneno, video, picha, program nakadhalika ambacho kimehifadhiwa kwenye computer/server. Yote haya Jamiiforums si inayo mnayaleta nyinyi watumiajji. Mfano hapa nimeandika hii thread itakuwa stored kwenye server za jamiiforums na hii ni data in form of text. mtu yoyote akiwa kokote akitaka tembelea jamiiforums ata access server zao walikohifadhi data zao kuptia kwa isp mfano tigo amabye naye ataungwa na miundombinu mfano fibre optic ya seacom kuwa connected na sevrer za jamiiforums na hiyo ndo internet. ni muuganiko wa servers/computers kadhaa ambazo zinaweza kuwasiliana.
Hata wewe ukifungua ki website chako ukawa na servers zako jua nawe ni part ya internet.
 
Mimi ngoja nianzie hapa ;

Nakumbuka ni Physics hii, Kuna Bite (B)- Kilo-Bite (KB), Mega- Bite (MB) , Giga- Bite (GB) ...N.K Hivyo Bite ni nini ?

Nikisema mmiliki MB na GB ni makampuni kama Voda au tigo siyo kweli , ingekuwa ndivyo basi lazima yangekuwa na majina tofauti .

Lakini pia mbona naweza ingia internet bila hata kununua MB? Kama ndivyo basi mmiliki wa Mb na Gb itakuwa ni internet yenyewe .

Sasa internet ni ya nani basi ? Bila shaka itakuwa ni USA . Sababu ; Hofu ya USSR na nia yake ya kuwa na system yake ya Internet .

Tunakoelekea internet inaweza kuja kuzimwa kutokana na mambo fulani . Basi huyu mwenye nguvu ya kuizima atakuwa ndiye mmiliki .

Kwa kuhitimisha USA ndiye mmiliki namba moja wa Technolojia .
 
Yaani humu ma i.t wetu mmetuangusha vitu vidogo km hivi mnashindwa kuvielezea je? Tuweza kweli kurusha masatelite yetu huko angani kweli.

Kwa mujibu wa google Mgunduzi wa hizi data na internet ya kipindi hiki ni computer scientist Tim Berners-Lee (mtu wa nasa huyu) ambaye ndiye aliyeanzisha World Wide Web. (www) mwaka 1990..

Na hivi vyote mmiliki wake ni NASA huko usa ambao wana satelite anga za juu hizi kampuni na upupu mwingine wote wananunua kwa nasa ndio wanasambaza data kwa njia mbalimbali ya mitandao kwa viwango tofauti tofauti.
 
Mimi ngoja nianzie hapa ;

Nakumbuka ni Physics hii, Kuna Bite (B)- Kilo-Bite (KB), Mega- Bite (MB) , Giga- Bite (GB) ...N.K Hivyo Bite ni nini ?

Nikisema mmiliki MB na GB ni makampuni kama Voda au tigo siyo kweli , ingekuwa ndivyo basi lazima yangekuwa na majina tofauti .

Lakini pia mbona naweza ingia internet bila hata kununua MB? Kama ndivyo basi mmiliki wa Mb na Gb itakuwa ni internet yenyewe .

Sasa internet ni ya nani basi ? Bila shaka itakuwa ni USA . Sababu ; Hofu ya USSR na nia yake ya kuwa na system yake ya Internet .

Tunakoelekea internet inaweza kuja kuzimwa kutokana na mambo fulani . Basi huyu mwenye nguvu ya kuizima atakuwa ndiye mmiliki .

Kwa kuhitimisha USA ndiye mmiliki namba moja wa Technolojia .
Kinachozimwa ni miundombinu ya kukuwezesha kuaccess internet nadhani ushasikia kuna kitu kinaitwa mkonga wa taifa. Hicho kinaweza zimwa na Tanzania kusiwepo na internet.
Urusi anataka kutengeneza system ambayo itatumika endapo kutakuwa na shambulizi la kimtandao na kuwalazimu kuzima connection with the outside world ila wao wa ndani waendelee kuwasiliana maana yake internet ya ndani itaendelea maana maana ya internet ni mawasiliano baina ya computer so computer za ndani zitaendelea kuwasiliana
 
Yaani humu ma i.t wetu mmetuangusha vitu vidogo km hivi mnashindwa kuvielezea je? Tuweza kweli kurusha masatelite yetu huko angani kweli.

Kwa mujibu wa google Mgunduzi wa hizi data na internet ya kipindi hiki ni computer scientist Tim Berners-Lee (mtu wa nasa huyu) ambaye ndiye aliyeanzisha World Wide Web. (www) mwaka 1990..

Na hivi vyote mmiliki wake ni NASA huko usa ambao wana satelite anga za juu hizi kampuni na upupu mwingine wote wananunua kwa nasa ndio wanasambaza data kwa njia mbalimbali ya mitandao kwa viwango tofauti tofauti.
Mkuu Nasa hamiliki internet inabidi ujue hilo na internet kwa kiasi kikubwa kwa sasa hairushwi kwa njia ya satelite maana inakuwa slow sana ikirushwa kwa njia hiyo japo kuna maendeleo yamepigwa ila kwa kipindi kirefu internet yenye speed inapitia cables kama fibre optic ndo inaweza kucover long distances kwa speed kali.
Si kweli kwamba NASA anamiliki interneet kwakuwa internet ni muunganiko wa computers/servers
 
Mkuu Nasa hamiliki internet inabidi ujue hilo na internet kwa kiasi kikubwa kwa sasa hairushwi kwa njia ya satelite maana inakuwa slow sana ikirushwa kwa njia hiyo japo kuna maendeleo yamepigwa ila kwa kipindi kirefu internet yenye speed inapitia cables kama fibre optic ndo inaweza kucover long distances kwa speed kali.
Si kweli kwamba NASA anamiliki interneet kwakuwa internet ni muunganiko wa computers/servers
sasa unabishana na mimi au na google huko mm nimekupa nilichokikuta kwenye google hayo mengine ni yako sasa

Waanzilishi ni NASA (ipo chini ya wizara ya ulizi wa marekani na ilianza jeshini ikaborehsa na huyo jamaa hapo niliyemtaja akaleta uwe public.

Unaposema internet haina mwenyewe wakati imegunduliwa na bianadamu mbona inakanganya sana mkuu..
 
Back
Top Bottom