Nani anamiliki data zinazowezesha kutumia mtandao intaneti?

Dadavua zaidi mkuu
mfano itunes ni store ya mziki so mmiliki wa hiyo store ni apple na data zilizomo, facebook social network ana servers ambazo zina data za watumiaji kwa mmiliki wa data hizo ni facebook, jamiiforums wana servers zao ambazo zimebeba data za jamiiforums mmiliki ni jamiiforums n.kn.k kwa mantiki hiyo hakuna mmiliki wa data zote za internet kwakuwa internet ni muunganiko wa computers (servers) ila kuna wamiliki wa miundo mbino zinazowesha hizo servers kuwasiliana mfano seacom na fibre optic cable yao n.k n.k
 
Update
Network ni muunganiko wa computer mbili au zaidi ili ziweze kuwasilian pamoja na kuweza kubadilishana malighafi. Kuna aina nne za network nazo ni
1.Personal network
2.Local area network (LAN)
3.Metropolitan area network (MAN)
4.Wide area network (WAN)
Internet ni mojawapo ya WAN inayojulikana na watu wengi. Kwa hivyo Internet ni muunganiko wa computer ili kuweza kuwasiliana na kubadilishana malighafi. Kwa hiyo hakuna mmiliki wa internet lakini kuna wasimamizi wa miundombinu inayowezesha mawasiliano haya ya computer ambao wanajulikana kama Internet Service Provider (ISP). Kwa Tanzania ISP mkubwa ni TTCL ambae anawauzia hawa wadogo wengine kina Vodacom, Tigo, Airtell na wengine ila yeye hawauzii kama bundle wenda la GB kadhaa hapana bali wao wanalipia kulingana na speed watakayopewa wao. kisha kutoka kwa ISP Ndipo sasa wao wanaanza kutupimia kwamba ukilipia may be 1500 basi tukupe 1GB, hii ndio sababu kubwa mgawanyiko unapotokea kwamba kwa kiasi kile kile ISP fulani atakupa kiasi kadhaa cha MB huku mwingine ikiwa pungufu au zaidi. Lakini ISP wao hulipia speed na sii MB/GB/TB nk.
 
Network ni muunganiko wa computer mbili au zaidi ili ziweze kuwasilian pamoja na kuweza kubadilishana malighafi. Kuna aina nne za network nazo ni
1.Personal network
2.Local area network (LAN)
3.Metropolitan area network (MAN)
4.Wide area network (WAN)
Internet ni mojawapo ya WAN inayojulikana na watu wengi. Kwa hivyo Internet ni muunganiko wa computer ili kuweza kuwasiliana na kubadilishana malighafi. Kwa hiyo hakuna mmiliki wa internet lakini kuna wasimamizi wa miundombinu inayowezesha mawasiliano haya ya computer ambao wanajulikana kama Internet Service Provider (ISP). Kwa Tanzania ISP mkubwa ni TTCL ambae anawauzia hawa wadogo wengine kina Vodacom, Tigo, Airtell na wengineo.
Need I say mo?? Hili ndiyo jibu
 
Network ni muunganiko wa computer mbili au zaidi ili ziweze kuwasilian pamoja na kuweza kubadilishana malighafi. Kuna aina nne za network nazo ni
1.Personal network
2.Local area network (LAN)
3.Metropolitan area network (MAN)
4.Wide area network (WAN)
Internet ni mojawapo ya WAN inayojulikana na watu wengi. Kwa hivyo Internet ni muunganiko wa computer ili kuweza kuwasiliana na kubadilishana malighafi. Kwa hiyo hakuna mmiliki wa internet lakini kuna wasimamizi wa miundombinu inayowezesha mawasiliano haya ya computer ambao wanajulikana kama Internet Service Provider (ISP). Kwa Tanzania ISP mkubwa ni TTCL ambae anawauzia hawa wadogo wengine kina Vodacom, Tigo, Airtell na wengineo.
Kwa Tanzania TTCL. Vipi kwa Dunia nzima?
 
Mimi ninachojua izo kampuni mbalimbali za data kama mitandao ya muziki mfano itunes sportfy nk, mitandao ya kijamii mfano watsap facebook insta jf, mitandao ya biashara mfano ebay amazon alibaba na kampuni karibu zote za mitandao, wanatumia world wide web yaani (www) Sasa swali ni kwamba ni nani mmiliki wa www ambaye ndio kiunganishi cha mitandao yote
 
Back
Top Bottom