Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 996
Habari,
Kuna mtu anatumia namba hiyo hapo juu, kila nikipiga hapokei, namba hii ilikuwa yangu iliibiwa pamoja na simu yangu yapata miezi 3 iliyopita cha ajabu tangu jana nikipiga inapatikana lakini mhusika hataki kupokea simu, nimfanyaje?
Kuna mtu anatumia namba hiyo hapo juu, kila nikipiga hapokei, namba hii ilikuwa yangu iliibiwa pamoja na simu yangu yapata miezi 3 iliyopita cha ajabu tangu jana nikipiga inapatikana lakini mhusika hataki kupokea simu, nimfanyaje?