jamaa namkubali sana nilishawai kukaa nae kwa night moja mafia tukawa marafiki mala nyingi huwa anaishi zanzibar yeye anasema kule ndio kwao kwani mala nyingi huwa zaznzibar na pia jamaa inawezekana amejenga kwani kuna siku tulikutana town akaniambia yupo dar kwa mapumziko
ashawai kuja mafya tukanywa sana pale mapoz pub karibu na kilindon tanpesca nikampa lifti ya boti mpaka kilwa akapanda hiace za mbagara akaenda zake dar ila sijaonana nae siku nyingi.
ni mtu wa ukweli jamaa hata willy smith alimshangaa wakati kaja bongo kumkuta jamaa hana mlinzi wala nini anaingio hotel wakati yeye waaandishi wa habali wanamzonga yeye ndio alisababisha nimsalimie will alipokuja bongo co walikua hotel moja jamaa jamaa yangu sana sema ni long time hatujawasiliana.
huwa anatembea bongo na zenji na watu huwa hawamjui huyu mbajuni wa unguja hanaga makuu.
Sijawahi kumpenda shoga yoyote yule so nawaachieni nyinyi na obama wenu muendelee kuwapa promo machoko
jamaa namkubali sana nilishawai kukaa nae kwa night moja mafia tukawa marafiki mala nyingi huwa anaishi zanzibar yeye anasema kule ndio kwao kwani mala nyingi huwa zaznzibar na pia jamaa inawezekana amejenga kwani kuna siku tulikutana town akaniambia yupo dar kwa mapumziko
ashawai kuja mafya tukanywa sana pale mapoz pub karibu na kilindon tanpesca nikampa lifti ya boti mpaka kilwa akapanda hiace za mbagara akaenda zake dar ila sijaonana nae siku nyingi.
ni mtu wa ukweli jamaa hata willy smith alimshangaa wakati kaja bongo kumkuta jamaa hana mlinzi wala nini anaingio hotel wakati yeye waaandishi wa habali wanamzonga yeye ndio alisababisha nimsalimie will alipokuja bongo co walikua hotel moja jamaa jamaa yangu sana sema ni long time hatujawasiliana.
huwa anatembea bongo na zenji na watu huwa hawamjui huyu mbajuni wa unguja hanaga makuu.
Duh watu kama nyie hamkosagi ktk jamii.....
Inaweza kuwa kweli maana kuna video yake moja kashootia zenji.
Anaonekana muungwana saana J.Legend.m
if i die today remember me like john legend quote lil wyne
Correction Mkuu. Quote ya Lil Wayne ni " ... if I die today remember me like John Lennon ..." sio John Legend. Alikuwa anamaanisha gwiji la muziki kutoka kundi la The Beatles hayati John Lennon.
Ni kweli, kasuku mtu yuko sahihi. Watu wengi hawajui kuwa jamaa huwa anakuja mara nyingi sana hapa na hupendelea Z'bar. Kuna wakati alikwenda mpaka Tabora kutembelea Orphanage moja hivi, nina ndugu yangu anafanya huko aliniambia. Nadhani baadhi ya footage za huko alizitumia kwenye video uliyoitaja hapo juu mkuu.
ndio huyo huyo tu
mimi sikuwa mpenzi wa nyimbo zake ila nilichopenda ile simple life ikanivuta kuwa shabiki wake mkubwa
sikuongopei me nishapiga nae story sana coz kati ya watu wanao ishi mafya hakuna alie mjua zaidi yangu alipenda sana hiki kitu
alikua ananipigia sana sim ila namba ilipotea na sm nikatengeneza line mpya
jamaa hataki umuite mmarekani yeye ndio alinipa story za znz kuwa na ubarozi wa amerca africa znz ndio nchi ya kwanza africa nahisi anajifunza kingazija au ameshajifunza siku nyingi sina mawasiliano nae.
na baba yake asilo yake znz.
if i die today remember me like john legend quote lil wyne
jamaa namkubali sana nilishawai kukaa nae kwa night moja mafia tukawa marafiki mala nyingi huwa anaishi zanzibar yeye anasema kule ndio kwao kwani mala nyingi huwa zaznzibar na pia jamaa inawezekana amejenga kwani kuna siku tulikutana town akaniambia yupo dar kwa mapumziko
ashawai kuja mafya tukanywa sana pale mapoz pub karibu na kilindon tanpesca nikampa lifti ya boti mpaka kilwa akapanda hiace za mbagara akaenda zake dar ila sijaonana nae siku nyingi.
ni mtu wa ukweli jamaa hata willy smith alimshangaa wakati kaja bongo kumkuta jamaa hana mlinzi wala nini anaingio hotel wakati yeye waaandishi wa habali wanamzonga yeye ndio alisababisha nimsalimie will alipokuja bongo co walikua hotel moja jamaa jamaa yangu sana sema ni long time hatujawasiliana.
huwa anatembea bongo na zenji na watu huwa hawamjui huyu mbajuni wa unguja hanaga makuu.
if i die today remember me like john legend quote lil wyne
Mhhhh makubwa aya me kwa upande wang cjaamini hata robo......