Nani anamfahamu John Legend

Nani anamfahamu John Legend

We are ordinary people we don't know which way to go! take it slow this time I take it slow.
 
jamaa namkubali sana nilishawai kukaa nae kwa night moja mafia tukawa marafiki mala nyingi huwa anaishi zanzibar yeye anasema kule ndio kwao kwani mala nyingi huwa zaznzibar na pia jamaa inawezekana amejenga kwani kuna siku tulikutana town akaniambia yupo dar kwa mapumziko

ashawai kuja mafya tukanywa sana pale mapoz pub karibu na kilindon tanpesca nikampa lifti ya boti mpaka kilwa akapanda hiace za mbagara akaenda zake dar ila sijaonana nae siku nyingi.

ni mtu wa ukweli jamaa hata willy smith alimshangaa wakati kaja bongo kumkuta jamaa hana mlinzi wala nini anaingio hotel wakati yeye waaandishi wa habali wanamzonga yeye ndio alisababisha nimsalimie will alipokuja bongo co walikua hotel moja jamaa jamaa yangu sana sema ni long time hatujawasiliana.

huwa anatembea bongo na zenji na watu huwa hawamjui huyu mbajuni wa unguja hanaga makuu.

Ahahaha Sawa mkuu. Nimekuelewa.
 
jamaa namkubali sana nilishawai kukaa nae kwa night moja mafia tukawa marafiki mala nyingi huwa anaishi zanzibar yeye anasema kule ndio kwao kwani mala nyingi huwa zaznzibar na pia jamaa inawezekana amejenga kwani kuna siku tulikutana town akaniambia yupo dar kwa mapumziko

ashawai kuja mafya tukanywa sana pale mapoz pub karibu na kilindon tanpesca nikampa lifti ya boti mpaka kilwa akapanda hiace za mbagara akaenda zake dar ila sijaonana nae siku nyingi.

ni mtu wa ukweli jamaa hata willy smith alimshangaa wakati kaja bongo kumkuta jamaa hana mlinzi wala nini anaingio hotel wakati yeye waaandishi wa habali wanamzonga yeye ndio alisababisha nimsalimie will alipokuja bongo co walikua hotel moja jamaa jamaa yangu sana sema ni long time hatujawasiliana.

huwa anatembea bongo na zenji na watu huwa hawamjui huyu mbajuni wa unguja hanaga makuu.

Mhhhh makubwa aya me kwa upande wang cjaamini hata robo......
 
Niliwahi kusikia na mimi eti ana asili ya Zanzibar, sina hakika na hili.
 
if i die today remember me like john legend quote lil wyne
 
Inaweza kuwa kweli maana kuna video yake moja kashootia zenji.

Anaonekana muungwana saana J.Legend.m

Ni kweli, kasuku mtu yuko sahihi. Watu wengi hawajui kuwa jamaa huwa anakuja mara nyingi sana hapa na hupendelea Z'bar. Kuna wakati alikwenda mpaka Tabora kutembelea Orphanage moja hivi, nina ndugu yangu anafanya huko aliniambia. Nadhani baadhi ya footage za huko alizitumia kwenye video uliyoitaja hapo juu mkuu.
 
Last edited by a moderator:
if i die today remember me like john legend quote lil wyne

Correction Mkuu. Quote ya Lil Wayne ni " ... if I die today remember me like John Lennon ..." sio John Legend. Alikuwa anamaanisha gwiji la muziki kutoka kundi la The Beatles hayati John Lennon.
 
Mi namuonaga wa kawaida n OVERRATED, but nashangaa anaheshimika sana majuu!
 
Zaidi ya ile nyimbo ya green light sijawah penda nyimbo yeyote ya huyu jamaa
 
Mngalijua siri za kuwa maarufu nchini Marekani hata msingeanzisha Mada za ajabu namna hii humu. Msitukane tu bila kujua mtu kwa nini anasema jambo....
 
Ni kweli, kasuku mtu yuko sahihi. Watu wengi hawajui kuwa jamaa huwa anakuja mara nyingi sana hapa na hupendelea Z'bar. Kuna wakati alikwenda mpaka Tabora kutembelea Orphanage moja hivi, nina ndugu yangu anafanya huko aliniambia. Nadhani baadhi ya footage za huko alizitumia kwenye video uliyoitaja hapo juu mkuu.

mimi sikuwa mpenzi wa nyimbo zake ila nilichopenda ile simple life ikanivuta kuwa shabiki wake mkubwa

sikuongopei me nishapiga nae story sana coz kati ya watu wanao ishi mafya hakuna alie mjua zaidi yangu alipenda sana hiki kitu

alikua ananipigia sana sim ila namba ilipotea na sm nikatengeneza line mpya
jamaa hataki umuite mmarekani yeye ndio alinipa story za znz kuwa na ubarozi wa amerca africa znz ndio nchi ya kwanza africa nahisi anajifunza kingazija au ameshajifunza siku nyingi sina mawasiliano nae.

na baba yake asilo yake znz.
 
Last edited by a moderator:
mimi sikuwa mpenzi wa nyimbo zake ila nilichopenda ile simple life ikanivuta kuwa shabiki wake mkubwa

sikuongopei me nishapiga nae story sana coz kati ya watu wanao ishi mafya hakuna alie mjua zaidi yangu alipenda sana hiki kitu

alikua ananipigia sana sim ila namba ilipotea na sm nikatengeneza line mpya
jamaa hataki umuite mmarekani yeye ndio alinipa story za znz kuwa na ubarozi wa amerca africa znz ndio nchi ya kwanza africa nahisi anajifunza kingazija au ameshajifunza siku nyingi sina mawasiliano nae.

na baba yake asilo yake znz.

hahahaha du! wabongo kwa kuunga story nawakubali! angekuwa mzenji ungekuta tayari alisha piga picha na kina Wema sepetu! angekuwa chini ya management ya kina Tale
 
jamaa namkubali sana nilishawai kukaa nae kwa night moja mafia tukawa marafiki mala nyingi huwa anaishi zanzibar yeye anasema kule ndio kwao kwani mala nyingi huwa zaznzibar na pia jamaa inawezekana amejenga kwani kuna siku tulikutana town akaniambia yupo dar kwa mapumziko

ashawai kuja mafya tukanywa sana pale mapoz pub karibu na kilindon tanpesca nikampa lifti ya boti mpaka kilwa akapanda hiace za mbagara akaenda zake dar ila sijaonana nae siku nyingi.

ni mtu wa ukweli jamaa hata willy smith alimshangaa wakati kaja bongo kumkuta jamaa hana mlinzi wala nini anaingio hotel wakati yeye waaandishi wa habali wanamzonga yeye ndio alisababisha nimsalimie will alipokuja bongo co walikua hotel moja jamaa jamaa yangu sana sema ni long time hatujawasiliana.

huwa anatembea bongo na zenji na watu huwa hawamjui huyu mbajuni wa unguja hanaga makuu.

hahahaha naomba tumtafutie huyu jamaa mchongo kwenye gazeti la udaku au makorokocho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom