Nani Anajua Namna ya Kumsaidia Huyu Mdada?

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409
haya ndio maelezo yake:-

Habari zenu marafiki ?

Mimi ni mwanamke mwenye miaka 27 kwasasa nina mtoto mmoja wa kike ambae nilizaa na mshenzi mmoja miaka mitano iliyopita.
Huyo jamaa jina lake linaanziwa na K, alinikimbia toka kipindi cha mimba na alikuwa akiwaambia watu kuwa mimba sio yake,kwa kudra za mwenyezi Mungu nilijifungua salama na mtoto amefafana na baba yake kupita kiasi.
Toka kipindi cha mimba mpake leo hii mtoto ana miaka 5 sijawahi kuona hata senti ya huyo kaka kwa ajili ya malezi ya mtoto, huyo kaka ana kazi nzuri sana na analipwa mshahara mzuri tu kwa kweli.
Swali langu ni kwamba nikimpeleka mahakamani je ataamuriwa kunipa pesa za mtoto? Je pesa za nyuma na hizo ataambiwa anilipe? Je ni kiasi gani kwa mwaka anaweza kuamuriwa anipe. Mshahara wake kwa mwezi sio chini ya milioni 3
 
Nenda ustawi wa jamii watakusaidia sana kwa kila aina ya ushauri na kila swali lako litajibiwa kikamilifu nan utapata suluhu ya tatizo lako.
 
nenda TAMWA watakusaidia mara moja kwa ushauri na watakupa na mwanasheria wao
 
haya ndio maelezo yake:-

Habari zenu marafiki ?

Mimi ni mwanamke mwenye miaka 27 kwasasa nina mtoto mmoja wa kike ambae nilizaa na mshenzi mmoja miaka mitano iliyopita.
Huyo jamaa jina lake linaanziwa na K, alinikimbia toka kipindi cha mimba na alikuwa akiwaambia watu kuwa mimba sio yake,kwa kudra za mwenyezi Mungu nilijifungua salama na mtoto amefafana na baba yake kupita kiasi.
Toka kipindi cha mimba mpake leo hii mtoto ana miaka 5 sijawahi kuona hata senti ya huyo kaka kwa ajili ya malezi ya mtoto, huyo kaka ana kazi nzuri sana na analipwa mshahara mzuri tu kwa kweli.
Swali langu ni kwamba nikimpeleka mahakamani je ataamuriwa kunipa pesa za mtoto? Je pesa za nyuma na hizo ataambiwa anilipe? Je ni kiasi gani kwa mwaka anaweza kuamuriwa anipe. Mshahara wake kwa mwezi sio chini ya milioni 3

pole sana dear, kama wengine walivyoshauri nenda tamwa au ofisi za usatawi wa jamii watakupa msaada unaohitaji. Hata hivyo kama mtu hataki mtoto wake usimlazimishe, kwani hata mtoto atajisikia vibaya akijakuwa na akili timamu agundue namna ambavyo babake alimkana na ikafikia hatua ya kulumbana ili tu apate mahitaji yake muhimu. Huyo baba iko siku atakuja kujuta kwa kosa hilo na itamuwia vigumu sana hata kurudi kujieleza hadi umuelewa hapo mtoto atakapokuwa mkubwa. La muhimu tu wewe kama mama, jitahidi ufanye kazi kwa biddiii uweze kumudu mahitaji muhimu ya mtoto Mwenyezi Mungu atakuwezesha Inshaalah
 
haya ndio maelezo yake:-

Habari zenu marafiki ?

Mimi ni mwanamke mwenye miaka 27 kwasasa nina mtoto mmoja wa kike ambae nilizaa na mshenzi mmoja miaka mitano iliyopita.
Huyo jamaa jina lake linaanziwa na K, alinikimbia toka kipindi cha mimba na alikuwa akiwaambia watu kuwa mimba sio yake,kwa kudra za mwenyezi Mungu nilijifungua salama na mtoto amefafana na baba yake kupita kiasi.
Toka kipindi cha mimba mpake leo hii mtoto ana miaka 5 sijawahi kuona hata senti ya huyo kaka kwa ajili ya malezi ya mtoto, huyo kaka ana kazi nzuri sana na analipwa mshahara mzuri tu kwa kweli.
Swali langu ni kwamba nikimpeleka mahakamani je ataamuriwa kunipa pesa za mtoto? Je pesa za nyuma na hizo ataambiwa anilipe? Je ni kiasi gani kwa mwaka anaweza kuamuriwa anipe. Mshahara wake kwa mwezi sio chini ya milioni 3
Amefanana na huyo mshenzi???!!!
 
haya ndio maelezo yake:-

Habari zenu marafiki ?

Mimi ni mwanamke mwenye miaka 27 kwasasa nina mtoto mmoja wa kike ambae nilizaa na mshenzi mmoja miaka mitano iliyopita.
Huyo jamaa jina lake linaanziwa na K, alinikimbia toka kipindi cha mimba na alikuwa akiwaambia watu kuwa mimba sio yake,kwa kudra za mwenyezi Mungu nilijifungua salama na mtoto amefafana na baba yake kupita kiasi.
Toka kipindi cha mimba mpake leo hii mtoto ana miaka 5 sijawahi kuona hata senti ya huyo kaka kwa ajili ya malezi ya mtoto, huyo kaka ana kazi nzuri sana na analipwa mshahara mzuri tu kwa kweli.
Swali langu ni kwamba nikimpeleka mahakamani je ataamuriwa kunipa pesa za mtoto? Je pesa za nyuma na hizo ataambiwa anilipe? Je ni kiasi gani kwa mwaka anaweza kuamuriwa anipe. Mshahara wake kwa mwezi sio chini ya milioni 3

Awasiliane na WLAC (Women for Legal Action) kwa namba zifuatazo 0785-066555 au 0757-726660. Hapa utapata msaada wa kisheria kupitia hizo namba.
 
Brigita good observation, how can you call baba wa mtoto wako Mshenzi!!?

By the way sijamuelewa wifi anachotaka, kaka si alishamkataa mtoto tangu akiwa mimba? Sasa wewe unataka kumpeleka mahakamani ili amkubali au ili akupe pesa za fidia? Na je ukishalipwa unamkabidhi kwa babake au ndo inakuwaje sasa? Mimi nafikiri ungefurahi kuwa umeachiwa zawadi ya mtoto. na wala usisikie uchungu kumlea mwanao, she is yours for God's Sake
 
Brigita good observation, how can you call baba wa mtoto wako Mshenzi!!?

By the way sijamuelewa wifi anachotaka, kaka si alishamkataa mtoto tangu akiwa mimba? Sasa wewe unataka kumpeleka mahakamani ili amkubali au ili akupe pesa za fidia? Na je ukishalipwa unamkabidhi kwa babake au ndo inakuwaje sasa? Mimi nafikiri ungefurahi kuwa umeachiwa zawadi ya mtoto. na wala usisikie uchungu kumlea mwanao, she is yours for God's Sake

ni kweli uliyosema nami nadhani angemshukuru Mungu tu kwa hali ilivyo, huyo mume anaweza akaitwa asikubali hata mtoto mwenyewe juu ya kufanana
 
Natamani ungekuwa na uwezo wa kumtunza mwanao kama wewe.kama baba yake alishakataa mimba tangu zamani ni tatizo.
 
Tatizo ni kupata hizo hela za matunzo kama sehemu ya mchango wa baba ktk matunzo ya mtoto au tatizo ni mshahara anaopokea? Maana yaonekana unautamani sana huo mshiko anaokamata...

Naimani pia unaweza kumtunza mwenyewe kama ulivyofanya for the past 5 yrs na kama wengi wanavyofanya.

Kama tatizo ni hizo Milioni 3 inawezekana mtazamo wako ni kwamba ukienda mahakamani ataambiwa akugawie asilimia flani ktk hizo. Itakula kwako utapoambiwa atakupa buku kwa siku na atakua anapeleka ustawi wa jamii na utatakiwa ukazichukue kila siku. Nauli tu toka kwako mpaka ofisi ya ustafi ni mara tano ya hiyo leave alone kama unaendesha.

Tafakari- Chukua hatua
 
Wakati wanajamiiana alikuwa hamjui huyo kuwa ni mshenzi!! kwanza hana adabu...inaelekewa huyo dada ana lugha chafu na ndio maana hata huyo mshenzi alikataa mimba...next time akikutana na mwanaume awe na kauli nzuri kwani midomo siku zote inajenga....pia kama alikataa mimba mshukuru mungu alikusaidia ulishamlea huyo mtoto siku zote ushindwe sasa omba mungu fanya kazi umlee mwanao...ukishindwa mpeleke kwenye vituo vya kulelea watoto vipo vingi tuu...
 
ni haki yake kuhakikisha baba mtoto anatoa pesa ya malezi ya mtoto. haijalishi kama aliikataa mimba awali au la.

mtoto anaweza kuwa anakosa hudua muhimu kwa kuwa mama labda hana pesa ya kutosha kumhudumia.

akifungua kesi mahakama itamwita jamaa, atapimwa dna na kama mwana ni wake kweli, atalazimika kumpatia pesa za matumizi na wala haitamamuru ampe mtoto huyu mwanamme.

haki ya mtu inapiganiwa haiji tu ....................pigania haki ya mtoto wako lakini epuka kumuita baba yake mwanao mshenzi hasa kama una nia ya kumshirikisha kwenye malezi ya mtoto wenu
 
Endelea tu kumtunza mwanao-afu cha ajabu wewe unasema mshenzi afu ukisha chukua pesa za mshenzi wewe utakuwa mshenzi pia- au vipi?
 
Kama ameweza kumlea mwenyewe huyu mtoto mpaka amefikisha umri wa miaka mitano,mimi sidhani kama
anahitaji tena msaada wa huyo mwanaume mshenzi..Mi namshauri amlee yeye mwenyewe..
 
Hebu dada tueleze ushenzi wa huyu baba ulianza mkiwa bado freinds au baada ya kumkana mtoto? je mlikubaliana mtazaaa au mlikuwa tu rafiki wa kawaida kimapenzi ili kila mtu achukue hamsini zake baada ya hapo?

wewe kwa nini hukumtafuta huko nyuma mpaka ukasubiri alipopata kazi ya mshahara wa millioni 3 ndo umtafute je huoni wewe huna tatizo la hizo hela?
 
amefanana na huyo mshenzi???!!!
huyo dada ni mshenzi ndio maana alipata mshenzi mwenzake,na ana tamaa ya hela ya huyo mshenzi na inavyoonekana huy jamaa ni mshenzi kwelikweli.sasa nampa huyo dada tahadhari popote atakapoenda iwe ustawi wa jamii,tamwa nk jamaa atamriwa ampe si zaidi ya buku jero kwa siku sasa kwa tamaa yake ya hela huyo mshenzi atmdanganya na bia ata

mtwanga nyingine.
 
Kama walivyosema wenzangu, hapa lipo jambo. La msingi mlee mwanao, huna haja ya kumfuata "mshenzi", japo sina hakika kama kweli anastahili jina hilo. Kwa maelezo yako kama kweli ni 'mshenzi" angepata kazi nzuri? Nahisi ulimtibua saaaaaana wakati ule ndo maana jamaa kaamua kutupa jongoo na mti wake. Hebu kumbuka ilikuwaje mpaka akakata mawasilianao, kuna jambo, tafakari kwa kina, kama ulikosa, omba msamaha, nadhani anaweza kumtunza mwanae !
 
jitahidiumtunze mwanao kwani kama baba alishakataa mimba haina maana kumkumbusha sa hizi wala usitake pesa yake endelea kulea mbona umeweza mpaka miaka5!
alafu usimwite baba mtoto mshenzi, kwann nawe ulitembea na mshenzi? na ukazaa mshenzi?
 
Back
Top Bottom