Nani anaipata clouds tv kwenye star times?

Nani anaipata clouds tv kwenye star times?

kwa sisi wapenzi wa clouds mbona kazi ipo basi inabidi watuweke wazi kama wameiondoa jumla au kuna marekebisho wanafanya siyo kupotea kienyeji tu
 
Nunua azam auta jutia
Zamu yao kula chunga,muwe wavumilivu Kama sisi tulivyokawa wavumilivu.Jamaa wakoa kibiashara na walishawai lalamika kuwa kuondolewa kwao Azam kuliwayumbisha kibiashara Sasa wamepata nafasi wameondoka Mazima.
 
Zamu yao kula chunga,muwe wavumilivu Kama sisi tulivyokawa wavumilivu.Jamaa wakoa kibiashara na walishawai lalamika kuwa kuondolewa kwao Azam kuliwayumbisha kibiashara Sasa wamepata nafasi wameondoka Mazima.
Naaam,kama mpenzi Chanel za burudani itakua pigo sana siye tusiopenda burudani sana hakuna shida
 
Back
Top Bottom