Polisi wangekuwa hawazuii mikusanyko ya maombi, wewe ulitakiwa upate mkusanyiko wakukuombea[/QUOT
hahahah! asee ni hatar
Una lengo gani na mgonjwa?Habari Wanajamvi,
Kwanza natanguliza pole na kumtakia mema Kamanda wetu Tundu Lissu. Lakini najaribu kufikiri kwanini Msigwa na Lema bado wako Nairobi?
Kwa gharama za nani? Kama za kwao kwanini wasirudi nyumbani kisha hizo fedha wachangie kwenye matibabu?
Tena lile jopo limeambatana na Wake na wenza wao, WHY?
Yawezekana na wao ni sehemu ya matumizi ya fedha zinazochangwa na Watanzania walalahoi........
Jamani rudini nyumbani tuhamasishe michango maisha ya Nairobi ni ghali sana......
Wanakuzuia kufanya nini?Nkamu ghwangu huoni lile jopo ni zito sana? Kwanini wasipungue lakini?
Habari Wanajamvi,
Kwanza natanguliza pole na kumtakia mema Kamanda wetu Tundu Lissu. Lakini najaribu kufikiri kwanini Msigwa na Lema bado wako Nairobi?
Kwa gharama za nani? Kama za kwao kwanini wasirudi nyumbani kisha hizo fedha wachangie kwenye matibabu?
Tena lile jopo limeambatana na Wake na wenza wao, WHY?
Yawezekana na wao ni sehemu ya matumizi ya fedha zinazochangwa na Watanzania walalahoi........
Jamani rudini nyumbani tuhamasishe michango maisha ya Nairobi ni ghali sana......
Habari Wanajamvi,
Kwanza natanguliza pole na kumtakia mema Kamanda wetu Tundu Lissu. Lakini najaribu kufikiri kwanini Msigwa na Lema bado wako Nairobi?
Kwa gharama za nani? Kama za kwao kwanini wasirudi nyumbani kisha hizo fedha wachangie kwenye matibabu?
Tena lile jopo limeambatana na Wake na wenza wao, WHY?
Yawezekana na wao ni sehemu ya matumizi ya fedha zinazochangwa na Watanzania walalahoi........
Jamani rudini nyumbani tuhamasishe michango maisha ya Nairobi ni ghali sana......
Pumbavu nyangau kwani ni mahouse kwako hivo hawana uwezo wa kujigaramiaHabari Wanajamvi,
Kwanza natanguliza pole na kumtakia mema Kamanda wetu Tundu Lissu. Lakini najaribu kufikiri kwanini Msigwa na Lema bado wako Nairobi?
Kwa gharama za nani? Kama za kwao kwanini wasirudi nyumbani kisha hizo fedha wachangie kwenye matibabu?
Tena lile jopo limeambatana na Wake na wenza wao, WHY?
Yawezekana na wao ni sehemu ya matumizi ya fedha zinazochangwa na Watanzania walalahoi........
Jamani rudini nyumbani tuhamasishe michango maisha ya Nairobi ni ghali sana......
kwa hiyo unaiba? hata kama unapewa b7 basi nawasikitikia kwa kupoteza pesa zao, sio kwa utumbo huuAliyekwambia bando nalipia nani?
Hivi wewe na akili zako fupi, unadhani kuishi Nairobi kuna gharama gani kubwa ya kumshinda Mbunge? Kwani wakienda Dodoma wanalipiwa na nani?Habari Wanajamvi,
Kwanza natanguliza pole na kumtakia mema Kamanda wetu Tundu Lissu. Lakini najaribu kufikiri kwanini Msigwa na Lema bado wako Nairobi?
Kwa gharama za nani? Kama za kwao kwanini wasirudi nyumbani kisha hizo fedha wachangie kwenye matibabu?
Tena lile jopo limeambatana na Wake na wenza wao, WHY?
Yawezekana na wao ni sehemu ya matumizi ya fedha zinazochangwa na Watanzania walalahoi........
Jamani rudini nyumbani tuhamasishe michango maisha ya Nairobi ni ghali sana......
Habari Wanajamvi,
Kwanza natanguliza pole na kumtakia mema Kamanda wetu Tundu Lissu. Lakini najaribu kufikiri kwanini Msigwa na Lema bado wako Nairobi?
Kwa gharama za nani? Kama za kwao kwanini wasirudi nyumbani kisha hizo fedha wachangie kwenye matibabu?
Tena lile jopo limeambatana na Wake na wenza wao, WHY?
Yawezekana na wao ni sehemu ya matumizi ya fedha zinazochangwa na Watanzania walalahoi........
Jamani rudini nyumbani tuhamasishe michango maisha ya Nairobi ni ghali sana......
Kwa mlivyokusudia kwa Lissu si rahisi mchangie, acha unafiki!Pesa tulizochanga watanzania kumhudumia Lissu. Inasikitisha zaidi ya wabunge watano na wenza wao kumhudumia Lissu huo ughaibuni wakati familia yake ipo.
Aisee wewe ni mke wa Lema au wa Msigwa ? Hebu kuwa wazi tu mkuu, haiwezekani hata mwenye mume hajataka mume wake arudi nyumbani halafu wewe unalilia wao kurudi. Mbona wanaume wako wengi tu ukitelekezwa unatafuta mwingine mkuuNajua hashindwi wala sijasema anashindwa lakini juhudi na upendo wake umedhihirika katika anga la Tanzania lakini kwanini asirejee nyumbani na hizo fedha akaziwekeza katika kuokoa maisha ya Lissu? Huoni kama atakuwa amefanya kitu Positive zaidi?
Utakuwa bashite weweNajua sio masikini lakini kwanini hizo fedha wasichangie kwenye matibabu kuliko kukaa huko Nairobi bila sababu ya msingi?