nchonga aliyebaki
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 573
- 823
Kwanza mjue kuishi Kenya Nairobi ni kama dar es salaam tu,
Step one pata stamp permit in your passport, ambayo Tanzania wanapewa hasi miez mitatu free bila kulipa visa,
Step two
Hotels zipo cheap za 1500 ksh per day yaan 30,000 ya Tanzania ,
Step three
Chakula ni simple ksh 200 unapata githeri unapata lunch nzuri hivyo per day anawez tumia 1000 ya Kenya Kula, na airtime
Jumla hapo tuseme ni shi elf 2500 za Kenya sawa na 50,000 kwa siku, hiyo itamshinda mbunge??
Step one pata stamp permit in your passport, ambayo Tanzania wanapewa hasi miez mitatu free bila kulipa visa,
Step two
Hotels zipo cheap za 1500 ksh per day yaan 30,000 ya Tanzania ,
Step three
Chakula ni simple ksh 200 unapata githeri unapata lunch nzuri hivyo per day anawez tumia 1000 ya Kenya Kula, na airtime
Jumla hapo tuseme ni shi elf 2500 za Kenya sawa na 50,000 kwa siku, hiyo itamshinda mbunge??