Itoye
JF-Expert Member
- Sep 29, 2017
- 531
- 1,024
Salaam,
Baada ya mabadiliko ya gharama za vifurushi vya simu ambavyo kimsingi gharama imeongezeka baada ya kupunguza ujazo kwa gharama ilele na baada ya miaka hii 5 ya utulivu. Nani wengine wanafata ktk kuongeza gharama za huduma zao?
Je! tunaweza kushuhudia Tanesco, Ewura nk nk nao wakifuata muelekeo huo.
Rest in Peace JPM.
Baada ya mabadiliko ya gharama za vifurushi vya simu ambavyo kimsingi gharama imeongezeka baada ya kupunguza ujazo kwa gharama ilele na baada ya miaka hii 5 ya utulivu. Nani wengine wanafata ktk kuongeza gharama za huduma zao?
Je! tunaweza kushuhudia Tanesco, Ewura nk nk nao wakifuata muelekeo huo.
Rest in Peace JPM.