Nani anafanya uteuzi wa Mwalimu Mkuu au Mkuu wa Shule?

Ayenda M

Member
Jan 4, 2018
97
132
Plz naomba msaada,

Nani anafanya uteuzi wa Mwalimu mkuu (Primary level) na Mkuu wa Shule (Secondary Level) kwa shule za serikali.

Plz naomba msaada wenu wakuu!
 
Mkuu wa shule au mwalimu mkuu huteuliwa na RAC na sio afisa elimu Wala mkurugenzi.

Barua inatoka kwa RAC Ila afisa elimu ana kazi ya kuwaongoza tu kwakuwa yeye ndio mkuu idara ya elimu.

Wanaokusapoti wanakupotosha maana hata wao hawajui
 
Mkuu wa shule au mwalimu mkuu huteuliwa na RAC na sio afisa elimu Wala mkurugenzi.

Barua inatoka kwa RAC Ila afisa elimu ana kazi ya kuwaongoza tu kwakuwa yeye ndio mkuu idara ya elimu.

Wanaokusapoti wanakupotosha maana hata wao hawajui
Samahan,naomba kirefu cha RAC na je huyo anapatikana ofisi gani?
 
Mkuu wa shule au mwalimu mkuu huteuliwa na RAC na sio afisa elimu Wala mkurugenzi.

Barua inatoka kwa RAC Ila afisa elimu ana kazi ya kuwaongoza tu kwakuwa yeye ndio mkuu idara ya elimu.

Wanaokusapoti wanakupotosha maana hata wao hawajui
Ila Afisa Elimu ana mchango mkubwa katika uteuzi wa hiyo nafasi. Katibu tawala mkoa( RAS) ufanya kupitisha tu wala ahangaiki kumjua huyo mtu pendekezwa.
 
Ila Afisa Elimu ana mchango mkubwa katika uteuzi wa hiyo nafasi. Katibu tawala mkoa( RAS) ufanya kupitisha tu wala ahangaiki kumjua huyo mtu pendekezwa.
Sahihi mkuu, majina hupendezwa na afisa elimu, katibu tawala huchambua na kuteua Mtu sahihi kutoka miongoni mwa waliopendezwa
 
Pendekezo ni tofauti na teuzi. Wanapendekezwa wengi huteuliwa mmoja
Inatakiwa hivyo ila sivyo inavyofanywa mkuu. Jina linapelekwa moja na kupitishwa ndo maana wakuu wa mashule walimu wakuu makanjanja wamekuwa wengi. Ukiwa na laki tano yako cheo ni nje nje.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mkuu WA shule au mwalimu mkuu huteuliwa na RAC na sio afisa elimu Wala mkurugenzi.
Barua inatoka Kwa RAC Ila afisa elimu ana kazi ya kuwaongoza tu kwakuwa yeye ndio mkuu idara ya elimu.

Wanaokusapoti wanakupotosha maana hata wao hawajui
Mara nyingi hukuta kuwa Mkuu wa Shule au Mwalimu mkuu, huteuliwa na kupangwa mostly so mbali na eneo alokuwa anafanya awali,, So hapo RAC au REO anajuaje kuwa anafaa wakati? Na nani anampa majina?
 
Inatakiwa hivyo ila sivyo inavyofanywa mkuu. Jina linapelekwa moja na kupitishwa ndo maana wakuu wa mashule walimu wakuu makanjanja wamekuwa wengi. Ukiwa na laki tano yako cheo ni nje nje.
Nihonge niwe Mkuu wa SHULE?
 
Yeah,kuna laki mbili au mbili na nusu kama posho ya madaraka.
Labda kwa zile zama ambazo HAKUKUWA NA ELIMU BURE walikuwa wakila hela,kwa sasa wakuu wana dhiki sana.
What is250,000/-?
Ambayo akiwa mwlwa kawaida anaweza kuipata zaidi
 
Back
Top Bottom