Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Kuna hii taasisi inajiita change Tanzania inayoongozwa na Maria Sarungi.
Ningependa kujua hii taasisi nani anaifadhili maana inaonekana kuendesha makongamano na matamasha ya kiuanaharakati kila mara ila hawana biashara yoyote ya kuwaingizia kipato.
Swali langu, je nani anaifadhili hii taasisi?
Ningependa kujua hii taasisi nani anaifadhili maana inaonekana kuendesha makongamano na matamasha ya kiuanaharakati kila mara ila hawana biashara yoyote ya kuwaingizia kipato.
Swali langu, je nani anaifadhili hii taasisi?