50% ya kila kinachofanyika Tanzania kimefadhiliwa, je Tanzania tuna akili za kimasikini? Pedi unazovaa zimefadhiliwa, je wewe ni masikini? Hata kondom zinazotumika kukutafuna zimefadhiliwa.Kwani Wewe kuandika hapa umefadhiriwa na Nani? Akili za kimaskini kufikiri kwamba kila kitu ufanyacho lazima ufadhiriwe.
Kumbe ndo maana unaamua kufua hizo kondom ili ukasuguliwe nazo.kwa Mara nyingine sababu ya umaskini?Lakini pia Tabia ya kushare pedi na mama yako mwisho utaambukizwa magonjwa.kuwa makini50% ya kila kinachofanyika Tanzania kimefadhiliwa, je Tanzania tuna akili za kimasikini? Pedi unazovaa zimefadhiliwa, je wewe ni masikini? Hata kondom zinazotumika kukutafuna zimefadhiliwa.
ccm imejaza mabumunda, slow learners almost retarded,hilo jina huoni ni la mtoto mwanajeshi wa museveni?sawa,sasa anaifadhili kwa manufaa gani tena??
Kuna hii taasisi inajiuta change Tanzania inayoongozwa na Maria Sarungi.
Ningependa kujua hii taasisi nani anaifadhili maana inaonekana kuendesha makongamano na matamasha ya kiuanaharakati kila mara ila hawana biashara yoyote ya kuwaingizia kipato.
Swali langu, je nani anaifadhili hii taasisi?
Serikali ya Magufuli na CCM ndiyo wafadhili wakubwa mkuu usihofu.Kuna hii taasisi inajiuta change Tanzania inayoongozwa na Maria Sarungi.
Ningependa kujua hii taasisi nani anaifadhili maana inaonekana kuendesha makongamano na matamasha ya kiuanaharakati kila mara ila hawana biashara yoyote ya kuwaingizia kipato.
Swali langu, je nani anaifadhili hii taasisi?
Kuna hii taasisi inajiuta change Tanzania inayoongozwa na Maria Sarungi.
Ningependa kujua hii taasisi nani anaifadhili maana inaonekana kuendesha makongamano na matamasha ya kiuanaharakati kila mara ila hawana biashara yoyote ya kuwaingizia kipato.
Swali langu, je nani anaifadhili hii taasisi?
Kweli kamanda anaacha kuuliza vitu vya maana kama gari la chama ilikuwaje likaandikishwa jina la Mwenyekiti. Na mwenyekiti YUPO!, Makamanda WAPO! alikina Lema WAPO?Swala cio saport kinachoongelewa mnakielewa? Na they are doing concioutization cio harakati. What I discovered ni kuwa makongamano ya kijinga yasiyo na impact positive kwa mtanzania hamuyahoji ila yakikata kwenye mfupa mnarukaruka
Kweli kamanda anaacha kuuliza vitu vya maana kama gari la chama ilikuwaje likaandikishwa jina la Mwenyekiti. Na mwenyekiti YUPO!, Makamanda WAPO! alikina Lema WAPO?Swala cio saport kinachoongelewa mnakielewa? Na they are doing concioutization cio harakati. What I discovered ni kuwa makongamano ya kijinga yasiyo na impact positive kwa mtanzania hamuyahoji ila yakikata kwenye mfupa mnarukaruka
Mmh! Uliyemtaja sio mtoto wa m7 mkuu?Muhozi kenerugaba ndio anae isapoti.
ccm imejaza mabumunda, slow learners almost retarded,hilo jina huoni ni la mtoto mwanajeshi wa museveni?
Mmh! Uliyemtaja sio mtoto wa m7 mkuu?
Nashukuru kwa kunisahihisha mkuu.jina sahihi Muhozi Kainerugaba sio kenerugaba
Kuna hii taasisi inajiita change Tanzania inayoongozwa na Maria Sarungi.
Ningependa kujua hii taasisi nani anaifadhili maana inaonekana kuendesha makongamano na matamasha ya kiuanaharakati kila mara ila hawana biashara yoyote ya kuwaingizia kipato.
Swali langu, je nani anaifadhili hii taasisi?
Wewe ni miongoni mwa watu wasiopenda ukweli,yani wale wasiotumia critical thinking, bali ni watu wa kumshangilia mtu kwa kila atakachokisema(Watu wa mapokeo)Kwani wewe anayekufadhiri ili uwe shabiki ni nani?Sasa iweje uulize juu ya Maria Sarungi kuwa anafadhiriwa na nani?Kwa ufupi ni kwamba,mfadhiri wa Maria Sarungi anaitwa Maria Sarungi.Hii ndiyo tofauti na wewe ambaye mfadhiri wako ni utashi wa mtu mwingine.Kuna hii taasisi inajiita change Tanzania inayoongozwa na Maria Sarungi.
Ningependa kujua hii taasisi nani anaifadhili maana inaonekana kuendesha makongamano na matamasha ya kiuanaharakati kila mara ila hawana biashara yoyote ya kuwaingizia kipato.
Swali langu, je nani anaifadhili hii taasisi?