Nani anafadhili Change Tanzania?

Nani anafadhili Change Tanzania?

Swala cio saport kinachoongelewa mnakielewa? Na they are doing concioutization cio harakati. What I discovered ni kuwa makongamano ya kijinga yasiyo na impact positive kwa mtanzania hamuyahoji ila yakikata kwenye mfupa mnarukaruka
Kabisa mkuu umenena vema
 
We Pimbi, kwanini unahisi hata ''uelewa wa watu'' ni ufadhili? sidhani kama wewe ni mzima.
 
sawa,sasa anaifadhili kwa manufaa gani tena??
Manufaa ya kuamsha waliolala
Mlipobana vyombo vya habari na Bunge live ili kutufanya tusiwasiliane? Mkazima Bunge, mkafungia magazine, mkàibana mitandao, TV na radio zote mnataka zitangaze mambo ya kusifia
 
Kuna hii taasisi inajiita change Tanzania inayoongozwa na Maria Sarungi.

Ningependa kujua hii taasisi nani anaifadhili maana inaonekana kuendesha makongamano na matamasha ya kiuanaharakati kila mara ila hawana biashara yoyote ya kuwaingizia kipato.

Swali langu, je nani anaifadhili hii taasisi?
NANI ANAMFADHIRI CYPRIANI MUSIBA??
 
Manufaa ya kuamsha waliolala
Mlipobana vyombo vya habari na Bunge live ili kutufanya tusiwasiliane? Mkazima Bunge, mkafungia magazine, mkàibana mitandao, TV na radio zote mnataka zitangaze mambo ya kusifia

Sasa mbona unanijumuisha na hayo kaka, tokea linimvuvi akafanya mambo hayo labda ni wewe hapo ndio unasingizia wenzako
 
Swala cio saport kinachoongelewa mnakielewa? Na they are doing concioutization cio harakati. What I discovered ni kuwa makongamano ya kijinga yasiyo na impact positive kwa mtanzania hamuyahoji ila yakikata kwenye mfupa mnarukaruka
Concioutization ndio nini wewe! Kwani unafikiri watanzania hawako concious. Kwa nini unafikiri u al shabaab umeshindwa kuweka mzizi hapa au itikadi za kupelekea taifa kuparanganyika. Wanachojaribu hawa ma mulato ni kuingiza itakadi za kugawa watu ili wanyonyaji na fisadi warejee jukwaani kutamba. Wanataka demokrasia ya kiliberali ili tubakie kubishana kuhusu ushoga na haki za binadamu huku mabeberu wakitufanyia dhuluma kuhusu uchumi wetu na sisi kuendelea kubaki maskini.
 
Kuna hii taasisi inajiita change Tanzania inayoongozwa na Maria Sarungi.

Ningependa kujua hii taasisi nani anaifadhili maana inaonekana kuendesha makongamano na matamasha ya kiuanaharakati kila mara ila hawana biashara yoyote ya kuwaingizia kipato.

Swali langu, je nani anaifadhili hii taasisi?
Kwaio unataka wakuonyeshe kuwa wanayo biashara hii na hii. Wewe ni nani???? Rudi shule kasake ELIMU
 
Kuna hii taasisi inajiita change Tanzania inayoongozwa na Maria Sarungi.

Ningependa kujua hii taasisi nani anaifadhili maana inaonekana kuendesha makongamano na matamasha ya kiuanaharakati kila mara ila hawana biashara yoyote ya kuwaingizia kipato.

Swali langu, je nani anaifadhili hii taasisi?
Itakuwa wananchi kama vile timu yetu pendwa.
 
Back
Top Bottom