TUNTEMEKE JF-Expert Member Jun 15, 2009 4,587 579 Apr 23, 2012 Thread starter #41 ELIESKIA said: zito anafaaa kuwa rais Click to expand... rais kwa sasa ni Jk,tunataka waziri mkuu,Urais wa Zitto ni 2015
ELIESKIA said: zito anafaaa kuwa rais Click to expand... rais kwa sasa ni Jk,tunataka waziri mkuu,Urais wa Zitto ni 2015
H Hansen Nasli JF-Expert Member Mar 18, 2012 883 337 Apr 23, 2012 #43 waziri mkuu anayefaa ni LOWASSA AU AGGREY MWANRI hakuna zaidi ya hawa kuongoza kwa uwezo na umakin wao
waziri mkuu anayefaa ni LOWASSA AU AGGREY MWANRI hakuna zaidi ya hawa kuongoza kwa uwezo na umakin wao
TUNTEMEKE JF-Expert Member Jun 15, 2009 4,587 579 Apr 23, 2012 Thread starter #44 Umsolopogas said: Watanzania tuko zaidi ya milioni 40. Mimi nafikiri yeyote anafaa tu. Ili mradi awe na miaka 18 na asiwe kichaa. anaweza kuongoza kuliko Mh Pinda. Click to expand... Sio kila mtanzania,unataka kusema hata Slaa na Lusinde wanaiweza?Mbowe je?
Umsolopogas said: Watanzania tuko zaidi ya milioni 40. Mimi nafikiri yeyote anafaa tu. Ili mradi awe na miaka 18 na asiwe kichaa. anaweza kuongoza kuliko Mh Pinda. Click to expand... Sio kila mtanzania,unataka kusema hata Slaa na Lusinde wanaiweza?Mbowe je?
TUNTEMEKE JF-Expert Member Jun 15, 2009 4,587 579 Apr 23, 2012 Thread starter #45 samirnasri said: Aggrey Mwanri. Click to expand... yuko too logical
TUNTEMEKE JF-Expert Member Jun 15, 2009 4,587 579 Apr 23, 2012 Thread starter #47 OPORO said: Mwalimu Mkuu wa Watu Click to expand... hatujaelewa unachomaanisha
TUNTEMEKE JF-Expert Member Jun 15, 2009 4,587 579 Apr 23, 2012 Thread starter #49 Kuna mtu anapendekeza Anah makinda ndio awe wazir mkuu na sita arudi kwenye uspicker
R rodrick alexander JF-Expert Member Feb 12, 2012 15,190 20,156 Apr 24, 2012 #50 wanaoweza wapo wengi ila tumeangukia kwenye mtego wa magazeti wa kuamini wale wanaoandikwa ndio wanafaa
wanaoweza wapo wengi ila tumeangukia kwenye mtego wa magazeti wa kuamini wale wanaoandikwa ndio wanafaa