Si kweli!Freeman Mbowe hana sifa ya kuwa mgombea wa kiti cha urais kwani katiba ya nchi inataka mgombea wa urais awe mhitimu wa angalao degree ya kwanza (Bachelor degree) kutoka chuo kikuu kinachotambuliwa na tume ya ithibati ya taifa. Kwa nafasi ya ubunge hapo ana qualify kwani katiba inataka mgombea ubunge awe tu na elimu ya KK (kusoma na kuandika). Kwa kiti cha udiwani ni raia ye yote yule hata kama hana KK.
Sifa ya Shahada kwa Mgombea Urais ni Kanuni ya Chama cha Mapinduzi sio Katiba ya Jamhuri