Nani ANA FURAHA?

Nani ANA FURAHA?

Waswahili wanasema raha jipe mwenyewe.
Kwa mantiki hiyo, tajiri pia ana nafasi ya kujipa furaha iwapo atautambua utu wake wa ndani na kujua kuwa mali na utu ni vitu viwili tofauti.
Binadamu wote tuko sawa, masikini na matajiri.
 
Hahahaaaa...So nice discussion...!

Nilishakutana na kauli isemayo Masikini hana cha kupoteza.

Lakini tajiri yuko prone muda wowote kupoteza...!
 
Hahahaaaa...So nice discussion...!

Nilishakutana na kauli isemayo Masikini hana cha kupoteza.

Lakini tajiri yuko prone muda wowote kupoteza...!


Nasikia tajiri akipata malaria/mafua anaogopa hata usingizi hapati.
Simu ya benki iki display kwenye screen presha inapanda -
 
Wakulu pamoja na kuweka boundaries, lazima tujue kuwa hizo boundaries zimewekwa hasa na watu wa uchumi..na inajulikana wazi furaha ni zaidi ya kuwa na uwezo wa kiuchumi!

ndio maana utakuta kuwa kwa wale walio na furaha ya kimaisha sio walio na uwezoi mkubwa kiuchumi kwa maana ya kuweza kuishi juu ya mstari wa umasikini(poverty line)

Kimsingi inabidi kuangalia mambo mengi zaidi ya uwezo wa kiuchumi/kifedha
 
Nasikia tajiri akipata malaria/mafua anaogopa hata usingizi hapati.
Simu ya benki iki display kwenye screen presha inapanda -

Sasa na wewe nenda kule tandahimba na kadolari kako kamoja kwa siku afu ukae miaka mitatu urudi tena Dar uone kama tutakukumbuka! Acheni kudanganyana bana! Pesa sabuni ya roho!
 
THE HAPPIEST PEOPLE in the world are not those who have no problems, but those who learn to live with things that are less than perfect!
 
Naniliu ndio mkao gani huo sasa?

unaitwa ' MBUZI ANATAKA KWENDA!'
kazi kwako aende au umalizane naye kwanza, akienda kama uko bize mpwa, usimlaumu kwa yatomkuta akijiliwaza kwa kumwacha aende. Afanyeje sasa?
 
THE HAPPIEST PEOPLE in the world are not those who have no problems, but those who learn to live with things that are less than perfect!

Avatar yako na hii signature imenichekesha sn.

Whenever You find the KEY to success, someone changes the Lock.
 
Back
Top Bottom