Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 77,964
- 165,386
Waswahili wanasema raha jipe mwenyewe.
Kwa mantiki hiyo, tajiri pia ana nafasi ya kujipa furaha iwapo atautambua utu wake wa ndani na kujua kuwa mali na utu ni vitu viwili tofauti.
Binadamu wote tuko sawa, masikini na matajiri.
Kwa mantiki hiyo, tajiri pia ana nafasi ya kujipa furaha iwapo atautambua utu wake wa ndani na kujua kuwa mali na utu ni vitu viwili tofauti.
Binadamu wote tuko sawa, masikini na matajiri.