kwa idadi ya vi binti vya form two vinavyokimbilia kununua cd zake, anaweza kabisa kuwa milionea.
tuna shule ngapi za kata? zaweza kufika 500 kwa uchache.
at least kila shule ina wadada 40 wa form two ambao wananunua cd moja moja ya huyo jamaa. halafu pia kuna ma sista du wanaohongwa na mibaba mjini nao pia ni wateja wazuri wa hizo nyimbo.
kama cd moja ni 3000/- tuseme, basi ni milionea kwani katoa albam ngapi hadi sasa?
Kuna mwenye data za utajiri wa diamond? Nasikia ni billionaire
bongo bwana eti mtu akiwa na tumilioni hata 50 tu twa madafu,tayari wanamwita tajiri ona sasa kasharobaro ka watu kanatuhela twa kununulia skin jeans,tayari wanakaita billionea mwe!!!!!
Sifa za kijinga!!
Vi thread vya kifacebook hivi havina hata afya.