Maskini inaonesha umeumizwa na utawala huu! Ukiona mtu anatukana jua akili yake imekwama. Pole sana, achana na upigaji wa zamani angaza mbeleJust get lost ,I have no time to argue with foolish fool
Maskini inaonesha umeumizwa na utawala huu! Ukiona mtu anatukana jua akili yake imekwama. Pole sana, achana na upigaji wa zamani angaza mbeleJust get lost ,I have no time to argue with foolish fool
Nakuwekea hiiumeisoma final offer ya Barick? kwenye ile document kuna appendix 4 ambayo inaelezea draft ya makubaliano kati ya GoT na Barick (ambayo serikali iliyafanya siri), nenda kasome vizuri kisha uone kama 'ushindi' wowote!
sio kwamba nabeza jitihada za serikali, kwenye hili la madini naamini hata ukiwauliza watanzania wengi wanaiunga mkono serikali 100%, nachopinga ni tabia ya kuwalaghai wananchi na mafanikio yasiyo na uhalisia.
Siyo kuwa negative ukweli unatabia hiyo kwa we we usiopenda kuelezwa ukweliHivi kila siku kwanini tuwe negative kwa nchi?
Je hao world Bank, wanaposema uchumi wetu unakuwa vizuri sana kwa kiwango cha kushangaza, na pato la mwananchi linaongezeka huwa wanakuja field? Acheni siasa kwenyr uchumi, miaka yote ndio mfumo unaotumika ila leo kwenye awamu ya wapika data ndio hawafai?!!!Kwani dodoso la World Bank umeliona wapi?
Nadhani kuna njia wanazotumia kupata takwimu nje ya dodoso. Kama mapato jumla ya mauzo nje, Jumla uwekezaji wa ndani n.k
Hivi kila siku kwanini tuwe negative kwa nchi?
Vitu vingne vinahitaji common sense tu hata km akili yako kibogoyo.Kwa hyo ulitaka NBS (sirikali) waseme uchumi umeshuka?Hv unajua Dr Mwele alifanywa nn baada ya kusema kweli?So far huwez kunielewa kwa kua ni mpiga makofi tuMadodoso yapo tuombe watu wa NBS watusaidie kuelimisha. Kuna producer price index linalotumika kukusanya data za uzalishaji viwandani, household budget survey kuangalia matumizi katika ngazi ya kaya, sensa, utafiti wa kilimo, utawala nk
Akili yako ni mbovu.pumbavu
Na hilo dodoso la WB ulikwisha kuliona wapi?Lakini taarifa ya world Bank inaonyesha udanganyifu wa data zinazotumiwa na Tz
Daaaaah! Nimefuta sana lakini...hili ni tatizo alilolitengeneza magufuli, anapenda sifa na mafanikio makubwa yasio na uhalisia, waliomzunguka wote wanalijua hilo na hivyo basi wameamua kuweka taaluma zao pembeni na kumpa anachotaka, uwongo unaopendeza na kufurahisha, kule kiwango cha ufaulu kinapanda, huku uchumi unakua kwa 7%, mara TIB na TTCL wanatoa gawio (kisha nyuma ya pazia wanalialia ukata), hajakaa sawa ATCL inaingiza faida!
they are treating him like a child, as if the truth is too much for him.
Senseless song from LumumbaMaskini inaonesha umeumizwa na utawala huu! Ukiona mtu anatukana jua akili yake imekwama. Pole sana, achana na upigaji wa zamani angaza mbele
Empty politics. Pengine hujui technical language inayotumika kwenye mining industry/business economics. The document is quite elaborate. Ninaamini unachanganywa na 50%/50% share of economic benefits principle kwa maana ulidhani, kama waswahili wengine, kuwa hyo ni pesa taslimu. Kwa waelewa, hiyo haikuwahi kuwa malipo taslimu hata kidogo.appendix 4 ambayo inaelezea draft ya makubaliano kati ya GoT na Barick (ambayo serikali iliyafanya siri), nenda kasome vizuri kisha uone kama kuna 'ushindi' wowote!
swala sio kuwa negative au positive bali ni ukweli na uhalisia. hauwezi kutatua tatizo kama hauamini kuwa kuna tatizo!