MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Dr.Albina Chuwa amepingana na taarifa iliyotolewa na world Bank kuhusu ukuaji wa uchumi wa Tanzania wa 5%,2018 akidai kuwa data zilizotumika hazina ukweli kwani ni vigumu mtu kukaa Ulaya na kupima uchumi wa Tanzania.
Amedai wao wamekusanya data nchi nzima na kubaini uchumi unakua kwa 7% na wataelendelea kusimamia hivyo.
Nimejiuliza ni wangapi walioona dodoso la NBS ofisini,sokoni,chuoni liliokuwa linakusanya data?
Lakini taarifa ya world Bank inaonyesha udanganyifu wa data zinazotumiwa na Tz,
Je, huyu mama anaamini uchumi ni porojo au data?
Amedai wao wamekusanya data nchi nzima na kubaini uchumi unakua kwa 7% na wataelendelea kusimamia hivyo.
Nimejiuliza ni wangapi walioona dodoso la NBS ofisini,sokoni,chuoni liliokuwa linakusanya data?
Lakini taarifa ya world Bank inaonyesha udanganyifu wa data zinazotumiwa na Tz,
Je, huyu mama anaamini uchumi ni porojo au data?