Nani ameruhusu wanyama wa bara kupelekwa Zanzibar, lini maliasili na utalii imehamia Muungano?

Mambo anayofanya huyu mama yanafanana kabisa na mambo aliyokuwa anafanya dikteta mobutu.Alihamisha wanyama kupeleka kijiji kwake lakini mwisho wa siku wanyama wakafa sababu ya mazingira mabaya.kwa mara ya kwanza Tz tumepata dikteta
 
Niweke wazi tuu kwamba kwa jinsi ninavyo wachukia hao washenzi natamani itokee sunami kakisiwa kote kazame wafie wote humo humo asipone hata mmoja😡😡😡😡, yani kale kakisiwa ni hasara na saratani kwa Tanganyika, ule moto uliolipuka Afrika kusini ilibidi ulipuke kule wafe wote washenzi wale 😡😡😡😡
Sio bure itakua walikufirumba
 
1. Baada ya kutajiwa ma-DC 23 wa kutoka Zanzibar wanaofanya kazi bara huku TAMISEMI ikiwa sio wizara ya Muungano nikajua mama anazingua.

2. Baada ya kuoa Leo mkurugenzi wa bar-ndari huku Tanganyika akijikosha mbele ya Rais Samia Saluhu kuwa watachukua pesa za bar-ndari huku Tanganyika walizopata kwenye shugli zao wakajenge majengo ya shule na zahanati kule Zanzibar nikona wamevuka mipaka ila Kuna Hilo

KUNZISHWA KWA MBUGA MPYA YA KIZIMKAZI ENEO LA PAJE ILI WATALII WANAOTUA ZANZIBAR WAENDELEE KUBAKIA HUKOHUKO WASIJE BARA MAANA WANYAMA WATAKUWA HUKO.

MKuu wa mkoa wa kusini unguja amemshukuru Rais Samia Saluhu Kwa kuongeza wanyama wengi kwenye MBUGA ya paje ilikuwa msitu na sasa Ina wanyama wakubwa kama Simba ,chui na faru na sasa wanataka tembo na kiboko Ili kukamilisha big five Ili watalii wabakie kule na kukuza utalii.

Nimejiuliza wakati wanyama wanapelekwa chato (Tanganyika) watu walipiga kelele na sasa ni nje ya Tanganyika na wanyama hawa sio jambo la Muungano mbona kimya.

Baada ya miaka saba watalii wanaokuja Tanganyika hasa mikoa ya kaskazini hawata lazimika kuja na watasalia ZANZIBAR.

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
hii nchi tunatakiwa kuipokonya toka kwa hawa wazanzibari.
 
Nch
1. Baada ya kutajiwa ma-DC 23 wa kutoka Zanzibar wanaofanya kazi bara huku TAMISEMI ikiwa sio Wizara ya Muungano nikajua mama anazingua.

2. Baada ya kuoa Leo mkurugenzi wa bandari huku Tanganyika akijikosha mbele ya Rais Samia Saluhu kuwa watachukua pesa za barndari huku Tanganyika walizopata kwenye shugli zao wakajenge majengo ya shule na zahanati kule Zanzibar nikona wamevuka mipaka ila Kuna Hilo

KUNZISHWA KWA MBUGA MPYA YA KIZIMKAZI ENEO LA PAJE ILI WATALII WANAOTUA ZANZIBAR WAENDELEE KUBAKIA HUKOHUKO WASIJE BARA MAANA WANYAMA WATAKUWA HUKO.

MKuu wa mkoa wa Kusini Unguja amemshukuru Rais Samia Saluhu kwa kuongeza wanyama wengi kwenye MBUGA ya Paje ilikuwa msitu na sasa ina wanyama wakubwa kama Simba ,chui na faru na sasa wanataka tembo na kiboko Ili kukamilisha big five Ili watalii wabakie kule na kukuza utalii.

Nimejiuliza wakati wanyama wanapelekwa Chato (Tanganyika) watu walipiga kelele na sasa ni nje ya Tanganyika na wanyama hawa sio jambo la Muungano mbona kimya.

Baada ya miaka saba watalii wanaokuja Tanganyika hasa mikoa ya Kaskazini hawatalazimika kuja na watasalia ZANZIBAR.

USSR
Nchi ya mazuzu hii,hata mlima kilimanjaro upelekwe tu hakuna shida,jamii ya watu waelevu wakishakubali kuongozwa na akili ndogo ,mambo kama hayo lazima yatokee tu,na watu hawana habari !!kuna singeri moja nimeisikia mtaani eti "SHETANI KAYAKANYAGA"tz raha sanaaa
 
Anochokifanya Samia Zanzibar ni mara 10 zaidi ya kile alichokuwa akikifanya Magufuri kule Chato ila waache wawabebe hao Simba na Chui na kisiwa chenyewe kilivyo kidogo hivyo siku wakitoka kwenye hifadhi na kuingia mtaani watajutia.
 
Tungekuwa na Jeshi kama Gaboni bi ajuza muda huu angekuwa amezingilwa huko huko aliko na kumuacha alee wajukuu. Ni unajisi kabisa akirudi huku abakie huko huko kwao muda wa unafiki umeisha.
 
Ndoa ya Tanganyika na Zanzibar ina mengi sana ambayo yanashangaza

Hebu fikiria Rais wa Zanzibar alienda Dodoma kwa ajili ya kikao cha chama lkn kilichotokea ndani ya kikao Rais husika alitoka km raia wa kawaida na kuwekwa kifungo cha nyumban ndani ya Tanganyika bila kupata nafas ya kurud ktk eneo la mamlaka yake

JPM licha ya ubishi wake wote lkn swala la Zanzibar lilimshinda

Alitishia kuwakatia umeme km wasipolipa bili zao na wao wakamjibu akate tu wapo tayar kutumia koroboi lkn bili hawatalipa na kwel mpaka leo umeme haujakatwa

Kwa hiyo unapozungumzia swala la muungano kuna mambo mengi yapo nyuma ya pazia hayasemw na mamlaka husika
Kali kupita yote ni kuwa na katiba mbili zinazo kinzana na wakubwa wako kimya. Tunaopiga kelele ni sisi vinyangarika. Kikwete alishasema " kelele za mlango ......."
 
Mambo ya kipuuzi kama haya ndiyo huwa yanasababisha tunapata rais style ya Magufuli. Maana hawataweza vumilia ujinga kama huu
 
Wacha wapunguzwe bana tumechoka kusikia tembo wamevamia mashamba na simba kuvamia mazizi ya mifugo
 
Wa Tanganyika 2025 tuseme hapana!
Huyu mama nilimpenda sana lkn kwa yanayoendelea nadiriki kusema HAPANA.
Upigaji! Rushwa! Ufisadi! ulaghai! wizi! kuvunja katiba!
 
Wa Tanganyika 2025 tuseme hapana!
Huyu mama nilimpenda sana lkn kwa yanayoendelea nadiriki kusema HAPANA.
Upigaji! Rushwa! Ufisadi! ulaghai! wizi! kuvunja katiba!
Mama Abdul ni mweupe kichwani akili ndogo inahangaika kutawala Akili kubwa.
Nonsense.
 
1. Baada ya kutajiwa ma-DC 23 wa kutoka Zanzibar wanaofanya kazi bara huku TAMISEMI ikiwa sio Wizara ya Muungano nikajua mama anazingua.

2. Baada ya kuoa Leo mkurugenzi wa bandari huku Tanganyika akijikosha mbele ya Rais Samia Saluhu kuwa watachukua pesa za barndari huku Tanganyika walizopata kwenye shugli zao wakajenge majengo ya shule na zahanati kule Zanzibar nikona wamevuka mipaka ila Kuna Hilo

KUNZISHWA KWA MBUGA MPYA YA KIZIMKAZI ENEO LA PAJE ILI WATALII WANAOTUA ZANZIBAR WAENDELEE KUBAKIA HUKOHUKO WASIJE BARA MAANA WANYAMA WATAKUWA HUKO.

MKuu wa mkoa wa Kusini Unguja amemshukuru Rais Samia Saluhu kwa kuongeza wanyama wengi kwenye MBUGA ya Paje ilikuwa msitu na sasa ina wanyama wakubwa kama Simba ,chui na faru na sasa wanataka tembo na kiboko Ili kukamilisha big five Ili watalii wabakie kule na kukuza utalii.

Nimejiuliza wakati wanyama wanapelekwa Chato (Tanganyika) watu walipiga kelele na sasa ni nje ya Tanganyika na wanyama hawa sio jambo la Muungano mbona kimya.

Baada ya miaka saba watalii wanaokuja Tanganyika hasa mikoa ya Kaskazini hawatalazimika kuja na watasalia ZANZIBAR.

USSR
Hii thread haikidhi viwango vya JF, mod hamkukosea kumlamba ban huyu Ccm majeruhi.

Yani Dar es salaam Zoo ifanye Watalii wasiende Mikumi?

Yani mtalii asiende Serengeti kuangalia animal immigration kwa sababu ya hiyo zoo ya Paje?

Selou game reserve ni kubwa kuliko nchi yote ya Zanzibar.

JF forum sasa hivi ukiingia umejaa ujinga mtupu.
 
Kali kupita yote ni kuwa na katiba mbili zinazo kinzana na wakubwa wako kimya. Tunaopiga kelele ni sisi vinyangarika. Kikwete alishasema " kelele za mlango ......."
Hv ktk matukio yao ya kitaifa huwa wanapiga wimbo wa mungu ibariki Tanzania au kuna wimbo wao wa Zanzibar???
 
Mambo ya kipuuzi kama haya ndiyo huwa yanasababisha tunapata rais style ya Magufuli. Maana hawataweza vumilia ujinga kama huu
Ni kwa nini makosa ya Nyerere ahukumiwe Samia? Tunamuonea bure, hii shida yote imeletwa na Nyerere kuwa na muungano wa kiini macho.
 
1. Baada ya kutajiwa ma-DC 23 wa kutoka Zanzibar wanaofanya kazi bara huku TAMISEMI ikiwa sio Wizara ya Muungano nikajua mama anazingua.

2. Baada ya kuoa Leo mkurugenzi wa bandari huku Tanganyika akijikosha mbele ya Rais Samia Saluhu kuwa watachukua pesa za barndari huku Tanganyika walizopata kwenye shugli zao wakajenge majengo ya shule na zahanati kule Zanzibar nikona wamevuka mipaka ila Kuna Hilo

KUNZISHWA KWA MBUGA MPYA YA KIZIMKAZI ENEO LA PAJE ILI WATALII WANAOTUA ZANZIBAR WAENDELEE KUBAKIA HUKOHUKO WASIJE BARA MAANA WANYAMA WATAKUWA HUKO.

MKuu wa mkoa wa Kusini Unguja amemshukuru Rais Samia Saluhu kwa kuongeza wanyama wengi kwenye MBUGA ya Paje ilikuwa msitu na sasa ina wanyama wakubwa kama Simba ,chui na faru na sasa wanataka tembo na kiboko Ili kukamilisha big five Ili watalii wabakie kule na kukuza utalii.

Nimejiuliza wakati wanyama wanapelekwa Chato (Tanganyika) watu walipiga kelele na sasa ni nje ya Tanganyika na wanyama hawa sio jambo la Muungano mbona kimya.

Baada ya miaka saba watalii wanaokuja Tanganyika hasa mikoa ya Kaskazini hawatalazimika kuja na watasalia ZANZIBAR.

USSR
Ndugu yangu hivi sasa nvhi haiendi kikatiba inakwenda kwa utashi wa viongozi.
 
Back
Top Bottom