Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,185
- 22,589
nashangaa watu kama wewe corona inawaacha mpaka sasami sijui nakwama wapi? mbona naona hii album ya kawaida kabisa! 85% ya nyimbo zote n sample ya zile zilizotamba huko nyuma, kimelody, beat na hata lyrics ... afu kiingereza chake lolololololooooh! kajitahid tu kwny refix ya "never give up" kwengine kaboronga.... unaija mwingi
kingine hii album kaimba km mtu aliye kwny mawazo mengi ya kuonewa, sauti yake kwa kiasi fulani inatia huruma...
mwisho ni kuwa next time ajitahid kuchanganya producers, sio album nzima wawili au watatu tu!
yangu ni hayo