Nani amejaribu kutumia aina hii ya 'gesi'?

Khantwe

JF-Expert Member
Dec 20, 2012
59,410
119,115
IMG_20220827_114540.jpg


Wanadai mitungi yao inatumia card na inapatikana kwa elfu 95 (hii ni pamoja na jiko la plate mbili)
Unaweza kulipa kwa mkupuo au ukaanza na deposit ya 30,000 kisha utakatwa asilimia 15 kila utakapokuwa unanunua gas (bei ya kununua cash ni sawa na bei ya mkopo)

Unapewa mtungi uliojaa gas ila ili uitumie unatakiwa ulipie kuanzia 1000 na kwa pesa hiyo unapata unit nane, gas ikiisha kwenye mtungi unajaziwa bure. Hakuna limit ya muda ni wewe tu na ulipaji wako hadi utakapomaliza deni lao la elfu 65.

Wanasema when the deal is too good think twice. Kuna mtu ametumia hii? Nahisi kuna zaidi ya haya ambayo hayasemwi.
 
Nikiwa hapo jijini Dar nilikutana na vijana wa promo wa hiyo kampuni wanasema;

Wanakuletea mtungi umejaa gesi bure so, kutokana na kifaa walichokifunga kwenye mtungi wako/wao wa gesi utakuwa unanunua ile gesi kulingana na pesa yako as unavyonunua luku, yaani Lipa Kadiri Unavyotumia.

Ukiwa na 500+ unanunua , so unaokoa manunuzi ya kubadirisha mtungi kwa mkupuo wa shs 54,000.
 
Hiii ipo Bagamoyo nimetumia sana qapo vizuri wamejipanga unalipia sh 30,000 unaletewa mtungi na jiko la plate mbili na mtungi unakuwa umefungwa GPS ambayo ni tracker pamoja na mita ya gesi, utakachokuwa unafanya unanua gesi kupitia simu yako na inakuruhusu kupikia ukitaka kukorofisha mfumo unajilock na faster wanakuja na wakamonitor. Hata ukihama bila taarifA ni teknolojia nzuri.
 
Hiii ipo Bagamoyo nimetumia sana qapo vizuri wamejipanga unalipia sh 30,000 unaletewa mtungi na jiko la plate mbili na mtungi unakuwa umefungwa GPS ambayo ni tracker pamoja na mita ya gesi, utakachokuwa unafanya unanua gesi kupitia simu yako na inakuruhusu kupikia ukitaka kukorofisha mfumo unajilock na faster wanakuja na wakamonitor. Hata ukihama bila taarifA ni teknolojia nzuri.
Mawasiliano yao?
 
Nikiwa hapo jijini Dar nilikutana na vijana wa promo wa hiyo kampuni wanasema;

Wanakuletea mtungi umejaa gesi bure so, kutokana na kifaa walichokifunga kwenye mtungi wako/wao wa gesi utakuwa unanunua ile gesi kulingana na pesa yako as unavyonunua luku, yaani Lipa Kadiri Unavyotumia.

Ukiwa na 500+ unanunua , so unaokoa manunuzi ya kubadirisha mtungi kwa mkupuo wa shs 54,000.
Na mimi nilielewa hivyo
 
Hiii ipo Bagamoyo nimetumia sana qapo vizuri wamejipanga unalipia sh 30,000 unaletewa mtungi na jiko la plate mbili na mtungi unakuwa umefungwa GPS ambayo ni tracker pamoja na mita ya gesi, utakachokuwa unafanya unanua gesi kupitia simu yako na inakuruhusu kupikia ukitaka kukorofisha mfumo unajilock na faster wanakuja na wakamonitor. Hata ukihama bila taarifA ni teknolojia nzuri.
Wow...binafsi nimeipenda
 
Back
Top Bottom