Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,205
- 3,009
- Thread starter
- #121
Haaaa eti computer zinaharibiwaHizo document huwa haziwekwi kwenye computer. Computer zinazotumika kuiandaa huwa zinaharibiwa baada ya printing.
Tuseme ukweli Huyu MTU aliyatendea haki mafunzo ya ujasusi. Amejitoa maisha yake kwa ajili ya taifa lake.
Mkataba umesainiwa kwa nakala mbili tu, hard copy. Yeye kauweka kwenye PDF kama ulivyo, hadi makosa ya sahihi ya Mbawala yakaonekana.