Hatuwezi kwenda Makanisani au Misikitini kupambana na shetani asiyeonekana badala ya kupambana na shetani anayeonekana kwanza(DP World)
Nitoe wito kwa wanaohusika na mkataba huu wa DP World kwamba wanatakiwa kujibu hoja za msingi kutoka kwa Watanzania na siyo tu kujificha kwenye udini, ujinsi na Uzanzibar. Hoja hizo ni kama vile:-
1. Kama mkataba huu una nia njema, kwa nini haujahusisha Bandari za Zanzibar?
2. Kwa nini mkataba huu unavunja Katiba yetu ya Nchi?
3. Kwa nini mkataba huu unavunja hata sheria za kimataifa?
4. Je, ni kweli kwamba Watanzania tumeshindwa kabisa kuendesha Bandari zetu?
Nawasilisha.
Nitoe wito kwa wanaohusika na mkataba huu wa DP World kwamba wanatakiwa kujibu hoja za msingi kutoka kwa Watanzania na siyo tu kujificha kwenye udini, ujinsi na Uzanzibar. Hoja hizo ni kama vile:-
1. Kama mkataba huu una nia njema, kwa nini haujahusisha Bandari za Zanzibar?
2. Kwa nini mkataba huu unavunja Katiba yetu ya Nchi?
3. Kwa nini mkataba huu unavunja hata sheria za kimataifa?
4. Je, ni kweli kwamba Watanzania tumeshindwa kabisa kuendesha Bandari zetu?
Nawasilisha.