Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,083
- 6,239
Mungu anaweza kuwepo bila cause kwa sababu Yeye ndiye aliyeumba vitu vyote vilivyoumbwa; pasipo Yeye hakikuumbwa chochote kilichoumbwa. Yeye ndiye cause ya kila kitu - Yn 1:3.Hivi unasoma unachokiandika?
Kuhoji kwa logic unakuaje utoto?
Unajua maana ya logic?
Logic ndiyo msingi wa utashi,wewe kuvaa hio nguo uliyovaa hapo ni logic
Uhalisia wetu unatii logic
Sasa unaposema kutumia logic ni utoto unataka tukuelewe vipi?
"Tumefikaje kwenye conclusion kuwa kila kitu lazima kiwe na chanzo?"
Wewe umefikia vipi conclusion kuwa Ulimwengu lazima uwe na chanzo?
Kama Ulimwengu lazima uwe na chanzo,umetumia sheria ipi?
Kama Ulimwengu lazima uwe na chanzo kwasababu kila effect lazima iwe na cause hio cause ya Ulimwengu ni ipi?
Kama hio cause ya Ulimwengu ndiyo Mungu basi ni Mungu yupi?
Na cause ya Huyo Mungu ni IPI?
Na kama hana cause kwanini hana cause wakati kila effect lazima iwe na cause?
Nijibu why and how Mungu anaweza Kuwepo bila cause wala beginning?
Hoja yako imejaa improbable assumptionsMungu anaweza kuwepo bila cause kwa sababu Yeye ndiye aliyeumba vitu vyote vilivyoumbwa; pasipo Yeye hakikuumbwa chochote kilichoumbwa. Yeye ndiye cause ya kila kitu - Yn 1:3.
Cause ya kila kitu haiwezi kuwa na cause kwa kuwa original cause haina time (omnipresent).
Something immaterial (without matter) and omnipresent (without time) must have created everything.
God cannot be one of the made things, because He made all of the made things.
Soma vyema hizo copy- paste zako, wewe kiingereza hujui lakini unajibaraguza kuokoteza post za kiingereza na kuzituma humu bila kwanza kutafakari impact yake au kuuliza kwanza kutoka kwa wanaojua kiingereza, sasa unapigwa maswali unashindwa kujibu, Umeangukia mdomo pwaaa!!.---- mnanajipa sifa ya "Alghuyuub", sifa ya Allah pekee ya kujua mambo ya ghaibu, huo ni ushirikina na kibri.
Unasema maana ya Sophist ni mtu Muongo muongo, tapeli, mjanjamjanja nk.
1-----SWALI NI HILI UNAWEZAJE KUMJUA VIPI MTU ANAYEULIZA SWALI; " if God is the creator then who created the creator??" KWAMBA YEYE NI SOPHIST (yaani, muongo muongo, tapeli nk)??
2----SWALI LA PILI, JE KILA MTU DUNIANI ANAYEULIZA HILO SWALI NI SOPHIST, a lying, deceiver, devoid of intellect? ??
3---- SWALI LA TATU JE MTU AKIULIZA SWALI; je Mungu kazaliwa na nani??--- naye anakuwa Sophist, an Ignorant, devoid of intellect, a lying deceiver ???
Halafu ni vyema ukatoa tafsiri ya hiyo Copy--paste yako kwa Kiswahili, inawezekana uli copy tu kibubusa (dogmatically) bila kujua maana ya kikichoandikwa humo.
Sema kama huwezi kutoa tafsiri usaidiwe usione aibu.
Naanzia hapa, sio "Edward" ni "Richard Hawkins". Hakuna mtu mwenye akili salama anae weza kuhoji au kuuliza ya kuwa "Mola ameumbwa na nani",nasema hivi sababu kila kiumbe kimeumbwa kumjua Mola muumbwa hii inaitwa "Fitrah(Innate Disposition) ".
Mambo ya Stephen Hawkins hayo yako na yeye, sisi tunamjua "Stephen Hawking".
Nakuja na hii, post ipo wazi sana, ndio maana mpama muda huu umeshindwa kukosoa nilichokiandika zaidi ya kulalamika na hili huliwezi mpaka unakufa.
Hitimisho lako imeonyesha wazi ya kuwa nilichokiandika nakijua ndio maana ukaamua kuandika ya kuwa sio kila mtu ni "Edward" (Japo umekosea kuandika jina la mkusudiwa).
Pili, hapa ubaonyesha ya kuwa ulivamia mada bila kuielewa ila sasa umeielewa, ndio maana huwezi kukosoa nilichokiandika kabla na baada.
Mpaka najiuliza, kwanini hujibu maswali yangu, naishia kucheka sana.
Ajabu wewe unaejua unashindwa kuelezea, na mimi naweza kukukosoa, sababu maana uliyoitoa inakuumbua wewe na inaonyesha ya kuwa "Sophist" ni mtu wa ghishi na mpindishaji maana ndio maana mfano ulioweka pale katika maana uliyo itoa ni kumuhusu "Mwanasiasa".
Maswali yako matatu nimeshayajibu huko nyuma zaidi ya mara moja,ni wewe tu utulize akili usome uelewe.
Kijana mpaka unakufa maana nilizo zitoa na hii uliyoiweka wewe hivi punde kabla ile ya kwanza ambayo hukuweka marejeo hazina tofauti na huwezi kutoa utofauti wa maana hizo.
Sasa unaposemamimi nimechagua maana nyingine, nikikuuliza kwanini wewe hujachukua maana nilizo zitoa mimi ukachukua maana hiyo nyingine ? Japo hazina tofauti katika msingi wa maana ya maneno hayo. Sasa usiwe mjinga mpaka unakuwa kipofu wa moyo na akili, hufikirii.
Ahsante.
Ni vizuri hoja zako zikajibiwa bila mihemuko
Katika dini fulani amewasisitizia mungu wao, wamwabudu mungu kwa akili , nguvu, na roho
Kuuliza pasipoeleweka ni kutimiza pia takwa hili, Bali kukaa kimya wakati kichwa kina maswali huko si kumwabudu mungu anaesemwa hapa!
Namaamisha hali ya kukubali uwepo wa Muumba na anaendesha mambo. Endapo akiwa akili yake imesalimika,na pindi akipatwa na majanga kuna hali inamuijia ya kumtafuta Mola na kumtaka msaada.Una maana gani unaposema kila kiumbe kimeumbwa kumjua mungu?
Unamaanisha kila kiumbe including mwanadamu tayari anamjua mungu ? Kama ni hivyo hivyo vitabu vya dini vina kazi gani? Watu wa dini kama sheikhs, pastors wapo pale kwa lini?
Mungu anaweza kuwepo bila cause kwa sababu Yeye ndiye aliyeumba vitu vyote vilivyoumbwa; pasipo Yeye hakikuumbwa chochote kilichoumbwa. Yeye ndiye cause ya kila kitu - Yn 1:3.
Cause ya kila kitu haiwezi kuwa na cause kwa kuwa original cause haina time (omnipresent).
Something immaterial (without matter) and omnipresent (without time) must have created everything.
God cannot be one of the made things, because He made all of the made things.
Mungu anaweza kuwepo bila cause kwa sababu Yeye ndiye aliyeumba vitu vyote vilivyoumbwa; pasipo Yeye hakikuumbwa chochote kilichoumbwa. Yeye ndiye cause ya kila kitu - Yn 1:3.
Cause ya kila kitu haiwezi kuwa na cause kwa kuwa original cause haina time (omnipresent).
Something immaterial (without matter) and omnipresent (without time) must have created everything.
God cannot be one of the made things, because He made all of the made things.
Kama Mungu hana mwanzo, alitokea wapi ? Atakuwa mwanzo wa mwanzo.
Ndiyo maana yake.That's to say He is a CAUSA CAUSAN and ETERNAL, those are distinguishing attributes of God.
Wee jamaa MUONGO.Kabla ya kubishana nani alimuumba Mungu ungeanza kwa kusema Mungu yupi...kama ni Allah tunamjua aliumbwa na Muhammad nk. N.k
Labda ungeanza kwa kutuonesha kwa thibati kabisa huyo mungu unayemzungumzia
Kwanini unasema hivyo?Jesus is a son of God, NOT a Christian God. take care plz
Aliyeumba kila kitu kilichoumbwa hawezi kuumbwa la sivyo atakuwa amejiumba mwenyewe kitu ambacho logically it's impossible!Kitu ambacho kipo kina mwanzo, kama unaamini Mungu yupo basi ana mwanzo, tutafute kwa makini aliyemuumba .
Kwa sababu umeshindwa kutofautisha kutokuonekana na kutokuwepo.Mjadala wa Juu kabisa huu Mungu hajawahi onekana and then watu wanajadili asiyeonekana katokea wapi na nani waliomuweka... kazi kubwa sawa na yai na kuku kipi kilianza